Ndugu Watanzania wenzangu, kama mnavyojua mwaka 2015 tutapata Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu (kwa mujibu wa taratibu zetu) ndiye atakayeiongoza nchi yetu 2015-2025 hivyo hatutakiwi kufanya kosa kwani kosa dogo tu tujue tumeumia na majuto ni mjukuu. Watu wengi wameishaonyesha nia ya nafasi hii ya Urais na mmoja wao ni Mh Edward Lowasa.
Kwangu mimi naona huyu bwana hafai kabisa kwenda Ikulu bali yeye anafaa kwenda Keko!!. Maovu na mabaya yake yoote yameishaanikwa wazi humu JF kwa takriban mwaka mzima sasa hivyo sitapenda kuyarudia kwani hata Watanzania wa vijijini wanayafahamu fika. Hata hivyo ovu lake kubwa ambalo hata yeye privately anakiri kuwa nalo na ambalo limeganda kwenye mwili wake na ambalo anahitaji special Jiki kujisafishia ili liondoke ni suala la Rushwa.
Kwa mtazamo wangu THABITI NA USIOTETEREKA siku ambayo Rais wa awamu ya Tano anaapishwa na Jaji Mkuu, Lo-rushwa (sio Lowasa) anatakiwa awe anaingizwa mlango wa Keko kwa kifungo cha maisha (tena hata hiyo adhabu sio kali sana maana watu kama yeye kule China ni Kunyongwa tu). Msiulize eti atakua amehukumiwa na mahakama gani. Kwa Lo-rushwa, hakuna cha PCCB, POLISI wala MAHAKAMA inayoweza kuona ndani. Si mnakumbuka jinsi PCCB walivyomsafisha kwenye Richmondul? Ndio maana alipokua Ujeruman akiuguza afya yake -alisema eti Hosea amefanya kazi nzuri anastahili pongezi wakati watanzania woote wanajua Hosea nae yumo genge la wala rushwa na hana nia thabiti ya kupambana na rushwa.Chaguzi za Dodoma ambako Lo-rushwa na genge lake walidhalilisha utu wa wanadamu wenzao kwa kugwa Lo-rushwa kwenye vyoo vinavyonuka tsh 40,000 na 70,000 zinaonyesha uovu wa mtu huyu na jinsi PCCB ilivyoshindwa kuwanasa watu wake kwa makusudi kwakua Hosea nae ni "WALEWALE" Mahakama pekee ya kumtia hatiani Lo-rushwa ni Wananchi wa Tanzania na sheria pekee itakayotumika ni UZALENDO.
Lo-rushwa ahukumiwe kula MBOKO 100. Siku hiyo anaingia Keko ale mboko 50 ila chondechonde wakati wa kumtandika mboko hizo mtandikaji(nashauri ateuliwe Morani mmoja aliyeshiba) aangalie upande wakushoto wa mwili wa Laighwanan asije akamtonesha matatizo yake mengine. pia nashauri mkewe ie Regina awepo kushuhudia maana wakati mmewe anakwapua mihela yeye alikua akichekelea na kununua vidan, mawax na vikuku vya kuwakoga wanawake wenzake!!!. Hivi uchu gani huu wa kuwaumiza binadamu wenzio we Lo-rushwa ? Lo-rushwa akiwa Ofisi ya PM wakati wa mafuriko ya kusini yeye akakwapua hela za mafuriko wakati wananchi wanateseka hawana hata pa kukaa! Watoto wetu wanakosa viwanja vya kuchezea na hatimae hata timu ya Taifa inakosa vipaji kwakua tu wakati akiwa Waziri wa Ardhi Lo-rushwa aliviuza viwanja vyote kwa wahindi! Ama kwa hakika Lo-rushwa atakua ni KUNI ya kuchomea waovu wote mbele ya Mungu, Uroho gani huu????
Najua kuna wapambe wake wengi hawatapendezwa na uzi huu, bali mimi kama mtanzania kwa kuandika hii thread natimiza wajibu wangu kama viongozi wetu ambao wamekua wakituhimiza kwamba tumuenzi mwalimu Nyerere kwa vitendo. Mwalimu alisema anachukia sana rushwa na dawa ya mla rushwa ni fimbo siku ya kuingia gerezani na siku ya kutoka akamwonyeshe mkewe!
Mtu huyu Lo-rushwa mwenye uchu mkubwa wa mali tukimpa nchi kwa hiyo miaka kumi na hasa ukitilia maanani ugunduzi wa gesi na mafuta, je nchi hii itasalimika? Au mnaompenda mnadhani akiwa Rais ndo atabadilika na kua mtu mwema na kuwapendeni Wadanganyika? WIZI na RUSHWA NI HULKA!Kitendo cha hivi karibuni kule Dodoma kutumia MAHARAMIA YA KISOMALI kama Bashe kutaka kumngoa Mwenyekiti wetu kwa njia za Umafia kinatakiwa kulaaniwa na kila mpenda amani na ndio "the last nail in his coffin", maana hata baadhi ya wapambe wake wamechukizwa sana na kitendo hicho.
Mwalimu katika hotuba yake ya tarehe 12.6. 1982 mbele ya NEC alisema "Rushwa ni Kansa mbaya sana. Haitoshi tu wewe kutokua mla rushwa bali ni lazma wewe kama Kiongozi au mwananchi wa kawaida kuonyesha umechukua hatua gani kupambana na rushwa au hata tu kukemea. Kitendo cha mataifa mengi kumkemea Nduli Idd Amini alipotuvamia kilionyesha wao wanajua kwamba Amin alikua na makosa na ilionyesha wanachukizwa na hali hiyo. Hivyo ndugu zangu, kila mtu kwa nafasi yake apambane vilivyo na rushwa". Mwalimu, huu uzi ni katika KUKUENZI KWA VITENDO!
Great Thinkers, je Lo-rushwa aende Ikulu au Keko?
Kwangu mimi naona huyu bwana hafai kabisa kwenda Ikulu bali yeye anafaa kwenda Keko!!. Maovu na mabaya yake yoote yameishaanikwa wazi humu JF kwa takriban mwaka mzima sasa hivyo sitapenda kuyarudia kwani hata Watanzania wa vijijini wanayafahamu fika. Hata hivyo ovu lake kubwa ambalo hata yeye privately anakiri kuwa nalo na ambalo limeganda kwenye mwili wake na ambalo anahitaji special Jiki kujisafishia ili liondoke ni suala la Rushwa.
Kwa mtazamo wangu THABITI NA USIOTETEREKA siku ambayo Rais wa awamu ya Tano anaapishwa na Jaji Mkuu, Lo-rushwa (sio Lowasa) anatakiwa awe anaingizwa mlango wa Keko kwa kifungo cha maisha (tena hata hiyo adhabu sio kali sana maana watu kama yeye kule China ni Kunyongwa tu). Msiulize eti atakua amehukumiwa na mahakama gani. Kwa Lo-rushwa, hakuna cha PCCB, POLISI wala MAHAKAMA inayoweza kuona ndani. Si mnakumbuka jinsi PCCB walivyomsafisha kwenye Richmondul? Ndio maana alipokua Ujeruman akiuguza afya yake -alisema eti Hosea amefanya kazi nzuri anastahili pongezi wakati watanzania woote wanajua Hosea nae yumo genge la wala rushwa na hana nia thabiti ya kupambana na rushwa.Chaguzi za Dodoma ambako Lo-rushwa na genge lake walidhalilisha utu wa wanadamu wenzao kwa kugwa Lo-rushwa kwenye vyoo vinavyonuka tsh 40,000 na 70,000 zinaonyesha uovu wa mtu huyu na jinsi PCCB ilivyoshindwa kuwanasa watu wake kwa makusudi kwakua Hosea nae ni "WALEWALE" Mahakama pekee ya kumtia hatiani Lo-rushwa ni Wananchi wa Tanzania na sheria pekee itakayotumika ni UZALENDO.
Lo-rushwa ahukumiwe kula MBOKO 100. Siku hiyo anaingia Keko ale mboko 50 ila chondechonde wakati wa kumtandika mboko hizo mtandikaji(nashauri ateuliwe Morani mmoja aliyeshiba) aangalie upande wakushoto wa mwili wa Laighwanan asije akamtonesha matatizo yake mengine. pia nashauri mkewe ie Regina awepo kushuhudia maana wakati mmewe anakwapua mihela yeye alikua akichekelea na kununua vidan, mawax na vikuku vya kuwakoga wanawake wenzake!!!. Hivi uchu gani huu wa kuwaumiza binadamu wenzio we Lo-rushwa ? Lo-rushwa akiwa Ofisi ya PM wakati wa mafuriko ya kusini yeye akakwapua hela za mafuriko wakati wananchi wanateseka hawana hata pa kukaa! Watoto wetu wanakosa viwanja vya kuchezea na hatimae hata timu ya Taifa inakosa vipaji kwakua tu wakati akiwa Waziri wa Ardhi Lo-rushwa aliviuza viwanja vyote kwa wahindi! Ama kwa hakika Lo-rushwa atakua ni KUNI ya kuchomea waovu wote mbele ya Mungu, Uroho gani huu????
Najua kuna wapambe wake wengi hawatapendezwa na uzi huu, bali mimi kama mtanzania kwa kuandika hii thread natimiza wajibu wangu kama viongozi wetu ambao wamekua wakituhimiza kwamba tumuenzi mwalimu Nyerere kwa vitendo. Mwalimu alisema anachukia sana rushwa na dawa ya mla rushwa ni fimbo siku ya kuingia gerezani na siku ya kutoka akamwonyeshe mkewe!
Mtu huyu Lo-rushwa mwenye uchu mkubwa wa mali tukimpa nchi kwa hiyo miaka kumi na hasa ukitilia maanani ugunduzi wa gesi na mafuta, je nchi hii itasalimika? Au mnaompenda mnadhani akiwa Rais ndo atabadilika na kua mtu mwema na kuwapendeni Wadanganyika? WIZI na RUSHWA NI HULKA!Kitendo cha hivi karibuni kule Dodoma kutumia MAHARAMIA YA KISOMALI kama Bashe kutaka kumngoa Mwenyekiti wetu kwa njia za Umafia kinatakiwa kulaaniwa na kila mpenda amani na ndio "the last nail in his coffin", maana hata baadhi ya wapambe wake wamechukizwa sana na kitendo hicho.
Mwalimu katika hotuba yake ya tarehe 12.6. 1982 mbele ya NEC alisema "Rushwa ni Kansa mbaya sana. Haitoshi tu wewe kutokua mla rushwa bali ni lazma wewe kama Kiongozi au mwananchi wa kawaida kuonyesha umechukua hatua gani kupambana na rushwa au hata tu kukemea. Kitendo cha mataifa mengi kumkemea Nduli Idd Amini alipotuvamia kilionyesha wao wanajua kwamba Amin alikua na makosa na ilionyesha wanachukizwa na hali hiyo. Hivyo ndugu zangu, kila mtu kwa nafasi yake apambane vilivyo na rushwa". Mwalimu, huu uzi ni katika KUKUENZI KWA VITENDO!
Great Thinkers, je Lo-rushwa aende Ikulu au Keko?