Wana JF,nimekuwa nkifuatilia sana mijadala ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika ila nimeshangazwa na jinsi ambavyo Hayati Sokoine aidha hajaongelewa kabisa ama ameongelewa kidogo sana..
Je ni kweli kuwa mchango wake kwa Taifa hili ni mdogo kiasi hicho?
Je ni kweli kuwa mchango wake kwa Taifa hili ni mdogo kiasi hicho?