hahahhahhahhah watu na mahaba yao ya 2015,kwa kweli sijui kaandika nn huyu bwana HAJAELEWEKAHoja yako hasa ni ipi ndugu Mmawia?
Wewe ni Mushuti hivyo hata kiswahili kwako ni shidahahahhahhahhah watu na mahaba yao ya 2015,kwa kweli sijui kaandika nn huyu bwana HAJAELEWEKA
Atapewa na wanachama wa cdmApewe uwenyekiti chadema aendeleze hekma zake
umeandika pumba na mashudu mwanaume mzima unaandika kitu kisichokuwa na hoja ya msingi..SHAMEWewe ni Mushuti hivyo hata kiswahili kwako ni shida
Thubutu.......... na Monduli yenyewe tunairudisha chamani(chama kubwa,chama pekee Tanzania)nyie endeleeni kubabaisha mtakula jeuri yenu.Atapewa na wanachama wa cdm
Wewe ni mnyarwanda hivyo kiswahili kwako ni shidaumeandika pumba na mashudu mwanaume mzima unaandika kitu kisichokuwa na hoja ya msingi..SHAME
Operation chakaza lazima ikurudishe kwenu gisenyiThubutu.......... na Monduli yenyewe tunairudisha chamani(chama kubwa,chama pekee Tanzania)nyie endeleeni kubabaisha mtakula jeuri yenu.
Huyo babu yenu kwisha habari yake subirini 2020 mzungushe mikono na vichwa msubiri mtolewe knock out......ShubamiitttttttttttttOperation chakaza lazima ikurudishe kwenu gisenyi
Kama ni hivyo sawa ndugu yangu. Nilidhani umeandika kifasihi zaidi ili tuumize vichwa kuelewa maana iliyojificha.Hoja yangu ni wewe usome nilicho kiandika na umesoma
Wakati huo operation tokomeza itakuwa ishakurudisha kwenu kisenyiHuyo babu yenu kwisha habari yake subirini 2020 mzungushe mikono na vichwa msubiri mtolewe knock out......Shubamiittttttttttttt