salome peter
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 379
- 260
Cha ajabu na mtoto wake yupo BoT unaona watu wanavyoweweseka hawajielewi
Ni mawazo ya kimaskini na hivyo ndivyo ccm wametujenga Watanzania. Ili nchi iweze kupiga hata tunahitaji kwanza kujikomboa kutoka kwenye ujinga huu(jambo ninaloliona gumu). Hakuna taifa duniani lililoendekeza unafiki na uduni wa mawazo likaendelea. Na hakuna taifa duniani limeendelezwa na maskini.Yeye mcheza senema za Bongo movie huyo simuoni wala smsikiii akila migahawani au akipanda Daladala hahah Lo mimvi shame on yu
Huyu Mzee naona anaanza kupagawa.Kwani yy watoto wake ktk kundi la wakuluma au vigogo?Wana JF,
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ameweka wazi kuwa vijana wengi ktk hii nchi wanaichukia CCM kwa sababu ya Ukosefu wa ajira. Katika hili la ajira mzee Lowassa amejaribu kutoa utofauti uliopo kati ya watoto wa wakulima na wanao jiita watoto wa wakubwa amesema watoto hao wa wakubwa wamepata kazi sehemu nzuri. Wamepata kazi TRA au BoT na ndani ya miezi sita utamwona anaendesha gari zuri na ana nyumba yake ya kifahari.
Wakati huo mtoto wa mkulima au yule ambaye amezaliwa katika familia ambayo sio bora, pamoja na kisomo chake ataendelea kusaga lami hadi kiatu alichotoka nacho chuoni kinakuwa upande.
Hivyo WAZIRI MKUU PINDA ameombwa alitafutie ufumbuzi suala hilo.
HAYA VIJANA WA JF KAZI HIZO ZINAKUJA NI NYIE KUWA AGRESSIVE JUU YA HILO DONT HESITATE TO MAKE APPLICATION IF IT IS OUT
MAPINDUZIIIII DAIMAAAAAA
Cku hizi hali na akina mama Ntilie?Yeye mcheza senema za Bongo movie huyo simuoni wala smsikiii akila migahawani au akipanda Daladala hahah Lo mimvi shame on yu