Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Waacheni watu waongee. Tafakari kwa makini na uchukue hatua. Hii haijalishi kariba ya aliyezungumza. Work on it.
wenzio wajanja wamekwisha kwenda upande wao wa kupiga debe la uraisichanzo GWIJI LA HABARI TANZANIA,HABARI LEO,KWA MALA YA KWANZA WAANDIKA HABARI YENYE MLENGO WA KUSHOTO
MAPINDUZIIIIIII DAIMAAAAAA
Wana JF,
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ameweka wazi kuwa vijana wengi ktk hii nchi wanaichukia CCM kwa sababu ya Ukosefu wa ajira. Katika hili la ajira mzee Lowassa amejaribu kutoa utofauti uliopo kati ya watoto wa wakulima na wanao jiita watoto wa wakubwa amesema watoto hao wa wakubwa wamepata kazi sehemu nzuri. Wamepata kazi TRA au BoT na ndani ya miezi sita utamwona anaendesha gari zuri na ana nyumba yake ya kifahari.
Wakati huo mtoto wa mkulima au yule ambaye amezaliwa katika familia ambayo sio bora, pamoja na kisomo chake ataendelea kusaga lami hadi kiatu alichotoka nacho chuoni kinakuwa upande.
Hivyo WAZIRI MKUU PINDA ameombwa alitafutie ufumbuzi suala hilo.
HAYA VIJANA WA JF KAZI HIZO ZINAKUJA NI NYIE KUWA AGRESSIVE JUU YA HILO DONT HESITATE TO MAKE APPLICATION IF IT IS OUT
MAPINDUZIIIII DAIMAAAAAA
Wana JF,
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ameweka wazi kuwa vijana wengi ktk hii nchi wanaichukia CCM kwa sababu ya Ukosefu wa ajira. Katika hili la ajira mzee Lowassa amejaribu kutoa utofauti uliopo kati ya watoto wa wakulima na wanao jiita watoto wa wakubwa amesema watoto hao wa wakubwa wamepata kazi sehemu nzuri. Wamepata kazi TRA au BoT na ndani ya miezi sita utamwona anaendesha gari zuri na ana nyumba yake ya kifahari.
Wakati huo mtoto wa mkulima au yule ambaye amezaliwa katika familia ambayo sio bora, pamoja na kisomo chake ataendelea kusaga lami hadi kiatu alichotoka nacho chuoni kinakuwa upande.
Hivyo WAZIRI MKUU PINDA ameombwa alitafutie ufumbuzi suala hilo.
HAYA VIJANA WA JF KAZI HIZO ZINAKUJA NI NYIE KUWA AGRESSIVE JUU YA HILO DONT HESITATE TO MAKE APPLICATION IF IT IS OUT
MAPINDUZIIIII DAIMAAAAAA
Hivyo WAZIRI MKUU PINDA ameombwa alitafutie ufumbuzi suala hilo.
anawinda urais 2015, aje tuta mkomesha na kiboko sabuni bora za kufulia. kafulia huyooooooooo! yeye alikuwa PM juzi tu alifanya nini zaidi ya kuiba?Lowasa anataka uwaziri wa Vijana, Ajira na Maendeleo. Tusubiri tuone!
Wana JF,
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ameweka wazi kuwa vijana wengi ktk hii nchi wanaichukia CCM kwa sababu ya Ukosefu wa ajira. Katika hili la ajira mzee Lowassa amejaribu kutoa utofauti uliopo kati ya watoto wa wakulima na wanao jiita watoto wa wakubwa amesema watoto hao wa wakubwa wamepata kazi sehemu nzuri. Wamepata kazi TRA au BoT na ndani ya miezi sita utamwona anaendesha gari zuri na ana nyumba yake ya kifahari
.
Sasa huyu du? Ukiikosa busara bwana. Yeye amewaona hao walioajiriwa huko alikosema, labda kama wamebebwa hawana sifa. Sasa mbona huwataji walio ajiriwa kwenye makampuni ambayo baba zao na mama zao wamewaibia wananchi. Toa kwanza boriti.... Ndio.... MUNGU akamwambia mpumbavu wewe usiku wa leo hiyo roho yako nnaihitaji hizo mali...... kama wewe ni mgalatia Malizi
teh teh teh... nice try..jaribu tena 2020, ila mwaka huu thidanganyiki cozi LOwasa ni fisadi wala hana huruma na maisha ya vijana..... bwana lowasa nice try, ila hujanipata
Mtoe fisadi huyo hana lolote la maana mnafiki na anakimbilia kiti tuu!