ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Lowasa karibu ukawa
Hapana
Lowasa karibu ukawa
Anyway mimi ni team lowassa ila nasubir aseme neno ndo ili tujue mtazamo wake......!!!!
Goo lowassa....!!! Tupo nyuma yako kwa kila utakacho fanya
Naona mbege iko kazini.
Tafadhali sana usishushe mbege na upuu.zi wa huyo mkosa adabu.
Mbege ilinyweka tangu enzi za mababu lakini haikuwahi kukosesha adabu. Huyo jamaa kavurugwa na viroba.
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu...kuna mfata mkumbo mmoja huku yupo taabani presha kama sio kisukari...hii yote kutokana na walio mtegemea kufeli kwa kishindo amekuwa na msongo wa mawazo toka juzi ...leo jion hali imekuwa mbaya
ANAOMBA USHAURI ATUMIE DAwa Gani ya kuondoa .msongo wa mawazo
Nawasilisha
#MstahikiMeya
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu...kuna mfata mkumbo mmoja huku yupo taabani presha kama sio kisukari...hii yote kutokana na walio mtegemea kufeli kwa kishindo amekuwa na msongo wa mawazo toka juzi ...leo jion hali imekuwa mbaya
ANAOMBA USHAURI ATUMIE DAwa Gani ya kuondoa .msongo wa mawazo
Nawasilisha
#MstahikiMeya
Mshauri aende kanisani akaombewe maana boss wake alipeleka pesa nyingi huko.