Edward Lowassa: Nimerudi nyumbani (CCM), msiniulize nimerudi kufanya nini, nimerudi nyumbani - Machi 9, 2019

Wanasemaga kwenye siasa hakuna rafiki/adui wa kudumu. Nadhani huu msemo ni sahihi kabisa hasa ukiangalia jinsi siasa za nchini mwetu zinavyoenda kwa sasa.

Nani alidhani kuna siku Lowasa na Polepole watakuja wakae meza moja hivi hasa baada ya maneno mbofumbofu aliyowahi kutoa Polepole ambaye ni kijana mdogo kwenda kwa Lowasa ambaye kiumri ni kama baba yake.

Nadhani hii ni hatua nzuri sababu inaonesha ukomavu wa kisiasa, inaonesha siasa si uadui. Hivyo sisi wananchi wa kawaida tusipende kuchukiana kwa tofauti zetu za kisiasa kwa sababu hata hao wanasiasa tunaodhani wana uadui si kweli bali ni false mentality ambazo tumejijengea.
Screenshot_20190310-135641.jpeg
IMG_20190310_135603.jpeg
 
Pole pole ni boya sana maana alitwambia Lowassa hana uhalali wa kuwa ccm sababu yuko na makando kando ya ufisadi na mali nyingi zisizo na maelezo.

Leo hii Edward Lowassa amepata wapi uhalali wa kuwa ccm?

Je, zile mali nyingi na ufisadi umetakasika?
 
Si walisema alinyinyea mara oooh maiti inayotembea mara sijui nini.
Wanasemaga kwenye siasa hakuna rafiki/adui wa kudumu. Nadhani huu msemo ni sahihi kabisa hasa ukiangalia jinsi siasa za nchini mwetu zinavyoenda kwa sasa.

Nani alidhani kuna siku Lowasa na Polepole watakuja wakae meza moja hivi hasa baada ya maneno mbofumbofu aliyowahi kutoa Polepole ambaye ni kijana mdogo kwenda kwa Lowasa ambaye kiumri ni kama baba yake.

Nadhani hii ni hatua nzuri sababu inaonesha ukomavu wa kisiasa, inaonesha siasa si uadui. Hivyo sisi wananchi wa kawaida tusipende kuchukiana kwa tofauti zetu za kisiasa kwa sababu hata hao wanasiasa tunaodhani wana uadui si kweli bali ni false mentality ambazo tumejijengea.
View attachment 1042340View attachment 1042342

get well soon tl
 
Mmoja ni msaliti wa wapiga kura wake na mwingine ni msaliti wa wananchi kupitia katiba ya wananchi wamekutana kwenye chungu kimoja kinachowafaa.
 
Chakubanga mnafiki sana.
Wanasemaga kwenye siasa hakuna rafiki/adui wa kudumu. Nadhani huu msemo ni sahihi kabisa hasa ukiangalia jinsi siasa za nchini mwetu zinavyoenda kwa sasa.

Nani alidhani kuna siku Lowasa na Polepole watakuja wakae meza moja hivi hasa baada ya maneno mbofumbofu aliyowahi kutoa Polepole ambaye ni kijana mdogo kwenda kwa Lowasa ambaye kiumri ni kama baba yake.

Nadhani hii ni hatua nzuri sababu inaonesha ukomavu wa kisiasa, inaonesha siasa si uadui. Hivyo sisi wananchi wa kawaida tusipende kuchukiana kwa tofauti zetu za kisiasa kwa sababu hata hao wanasiasa tunaodhani wana uadui si kweli bali ni false mentality ambazo tumejijengea.
View attachment 1042340View attachment 1042342
View attachment VID-20190302-WA0004.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwanasiasa asiye malaya, jiulize Mbowe kukutana na Lowassa wakapanga dili wakati walimchafua miaka kibao,
Usishangae siku Dr Slaa na Lowassa nao wanakutana uso kwa uso kwa furaha
 
Pole pole ni boya sana maana alitwambia Lowassa hana uhalali wa kuwa ccm sababu yuko na makando kando ya ufisadi na mali nyingi zisizo na maelezo.

Leo hii Edward Lowassa amepata wapi uhalali wa kuwa ccm?

Je, zile mali nyingi na ufisadi umetakasika?
Nikumbushe wakulima na wafugaji ni asilimia ngapi hapa nchini, jumlisha wachuuzi wadogo wadogo.kisha utajua kwa nini hali hii inaendelea kuwepo..
 
Huo ndio ukweli mtungu,kinachonishangaza na kunisikitisha ni nyie wenzetu mliobahatima kupata elimu na exposure na wasaa mlioamua kuwa sehemu ya ama kuunga mkono mfumo huo huku mkitambua fika kuwa ni mfumo dhalimu na kandamizi

Sent using Jamii Forums mobile app


Tupo CCM kwa Kuwa Hakuna Mbadala wa CCM kwa sasa

Nimekopa Maneno haya toka kwa Mwana FA aliesema 'wanakubali' kudhulumiwa Na Boss Ruge kwa Kuwa tunaomlaumu Ruge hamuwaoneshi waende wapi wasidhulumiwe!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Tupo CCM kwa Kuwa Hakuna Mbadala wa CCM kwa sasa

Nimekopa Maneno haya toka kwa Mwana FA aliesema 'wanakubali' kudhulumiwa Na Boss Ruge kwa Kuwa tunaomlaumu Ruge hamuwaoneshi waende wapi wasidhulumiwe!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Kwanza niweke wazi kuwa na kuheshimu na kuheshimu sana michango yako humu ndani na mara nyingi hujifunza kwayo,pia sina shaka na upeo na uwezo wako wakuchambua mambo,Lakini sasa bamkwe mbadala utapatikana vipi,ilhali nyie ambao mna upeo na fursa ya kuunda,kuupigania au hata walau kuudai huo mbadala mumeamua kufyata mkia na kuunga tela kwa wanyonyaji.Mfano tungekuwa bado tuko enzi za chama kimoja na nkakuuliza swali lile lile je bado utetezi wako utakuwa na mashiko?.Kama hakuna mbadala you could just be neutral/non aligned. Huyo mwanaefuei naye ni mwana CCM tu so hayo maneno yake ulomkopa mrudishie tu sababu hayana mantik kwenye mjadala huu na yana kila dalili ya stockholm syndrome.Pia sidhani kama kila asiyeipenda CCM ni mfuasi wa chadema ama CUF or the likes.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom