MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Hiyo ni ishara ya utii kwa kiongozi wake na mkubwa wakeNdugu Lema anaonekana kama anamsikiliza kwa makini sana lowasa, lakini ukweli ni kuwa lema anashindwa kumuangalia lowasa usoni..Hii ni kutokana na mashambulizi makali dhidi ya lowasa aliyoyaendesha mkoani arusha ambako ndipo chimbuko la lowasa.Lowasa anaonekana anaongea kwa sauti ya kusikika kabisa ambayo huitaji kuinama kumsikia..kinachoonekana hapa ni kwamba hawa vijana huwa wanapata wakati mgumu sana linapokuja suala la kukabiliana na lowasa face to face.. Kama ni mapenzi yao wasingependa hata kuonana na lowasa..