Edward Lowassa na Mkewe wafika kuhani Msiba wa Dkt. Magufuli

CHUMA JEIPIEMU
Eze6X7rWEAAMivB.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika huu ni ukuu wa mwenye enzi Mungu. Tunamrudishia sifa na utukufu, kazi yake haiana makosa.
 
..wapiga kampeni wa Magufuli walisema Mzee Lowassa ni mgonjwa na anajinyea kwenye mikutano.

..Na kama hiyo haitoshi walisema ikulu haifai kupelekwa wagonjwa kuwa Mzee Lowassa akichaguliwa atafia ikulu.
Astaghafillulah !
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom