Yote hii ilikuwa kumkejeli Lowasa. Mungu fundi kweli kweli
... ha ha ha battery ilikuwa very low; kumbe muda wowote ingekata charge!Kampeni za 2015 lowasa alikuwa anaharisha majukwaani na marehemu dikiteta magufuli alikuwa anapiga pushapu majukwaani, kuonyesha kuwa yuko imara, kumbe dikiteta magufuli alikuwa unfit.
Mzee wetu hana baya
AminaKweli kabisa mkuu, umenena vema. Upendo utawale
Marehemu alivyokuwa anamkejeli Lowasa kwa zile push-up zake