Wote hao hawatasaidia kitu. Mwinyi bado anaheshimika na Mkapa atazomewa.Nimesikia kuna mipango ya kuwaita marais wastaafu Mkapa na Mzee Mwinyi kujaribu kuokoa jahazi kwani maji yamefika shingoni
Wakuu naomba kuuliza swali hivi Edo mbona haonekani katika majukwaa ya CCM akimkapenia JK, na si yeye tu kwani hata wanamtandao wengine kama vile Sitta na wengineo naona wako kimya sana, KULIKONI?
Wakuu naomba kuuliza swali hivi Edo mbona haonekani katika majukwaa ya CCM akimkapenia JK, na si yeye tu kwani hata wanamtandao wengine kama vile Sitta na wengineo naona wako kimya sana, KULIKONI?