Edward Lowassa na Fredrick Sumaye ni Vyema Mkastaafu Siasa

Dah mkuu unanishangaza sana ssa sirveillance inahusiana nini na watu kukamatwa na kutekwa wanapoikosoa serikali??? Hizo sheria zote sijaona hata moja inayoelekeza kuwa "vyombo vya usalama wanaweza kuchukua vifaa vyako vya kieletroniki kwa ajili ya uchunguzi muda wowote"!!!!???? Kma ambavyo cybercrime act inasema ya hapa tz au cjui kumpa waziri mamlaka ya kuamua lipi ni kosa ama lah!!! Thats so funny hao wanapititia tu mitandaoni ila sijaona extreme measures kwa watumiaji na pia makosa hayo yameidhinishwa wazi kabisa sio hapa kwetu wanasema tu "ponografia ni makosa" ila hawaelezi content zote je ukivaa kimini tu haiwezi tafsiriwa ponografia??? Hamuoni mnaweka mashimo mengi ili mkamate watu kibao manaa mnajua mkiwa specific hamtamkamata mtu!!!!!! Afu wwe unakuja kusifia hapa eti mahakama ilisema ipo sawa tu!! Mahakama hii hii ambayo jaji mkuu anateuliwa na mwenyekiti wa chama kilichoipitisha muswada huo???? Anyway mahakama yenyewe inaangalia legality yake kisheria ila haiwezi sema eti kma sheria ni kandamizi au lah anyway labda upitie pia uchambuzi wa sheria hyo mbovu kabisa humu JF pia ilijadiliwa

Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

Tuwe wa kweli kabisa freedom of speech kwa nchi za wenzetu upo vizuri zaidi kuna nyimbo hadi wamametungia kumkashifu trump huko youtube na kma unavyoona maandamano yapo nchi nzima ila ushawahi ona viongozi wa maandamano wanakamatwa??? Au mikutano ya siasa inazuiwa au mtu kakamatwa kisa ameandika kwenye twitter page "YOU ARE NOT MY PRESIDENT" ila dare kuandika hivo tanzania kama hujakamatwa eti kwa uchochezi!!!! Then wwe unajustify kwa kugoogle surveillance laws ili kujustify uhuni wa serikali yako!!
wewe jamaa ni mbishi sana. basi mimi naishia hapa. hizo sheria hujazisoma vizuri - unakurupuka tu. They are legally allowed to confiscate electronic devices for investigations. Mimi naishia hapa, uwe na siku njema.
 
Bro nakushauri don't waste your time to argue na hawa vibaka wa mtandaoni. Unajua most of them the does not know the meaning of the freedom of the speech.
True. Wanadhani Freedom of Speech ni kutukana utakavyo, kuchochea utakavyo, na kuandamana hadi sebule ya Ikulu.
 
ccm inatakiwa ife kwanzia ndani,inside out...akina lowasa na sumaye kwa jinsi walivokua wameishika ccm tunawaitaji sanaaa uwepo kwenye hizi siasa zetu...
 
Namaanisha kabla hujamkosoa huyo unayesema anamlinda mvamizi wa studio wewe umewafanyia nini cha maana watu wako wa karibu
Bahati mbaya hatufahamia laiti ungenifaham hata usingeyasema hayo.

Furaha yangu mimi ni kuona mtu wangu wa karibu anauona mchango wangu.

Najali sana watu wangu wa karibu sio mama wala baba tu watu wote nnaoweza kuwa saidia nikiwa na nafasi.

Kwa hiyo usinifaninishe mimi na huyo mtetezi wa jambazi.
 
wewe jamaa ni mbishi sana. basi mimi naishia hapa. hizo sheria hujazisoma vizuri - unakurupuka tu. They are legally allowed to confiscate electronic devices for investigations. Mimi naishia hapa, uwe na siku njema.
Acha kupanick mkuu hoja inakushinda nimesema hizo zote ziko objected mahakamani ssa unaoata wapinlegality ground ya kuzitumia wakati zipp subjected to ammendments?? Nmezisoma kwa summary ndio maana nmekujibu hivyo

2. Nmekwambia makosa yako specified sio ssi wanasema tu UCHOCHEZI sijui PONOGRAFIA ila hamsemi ni makosa gani yatakuwa deemed ya kichochezi ssa hapo utawezaje linganisha sheria yao na yetu???

3. Pia nmekwambia ya kwetu imewapa nguvu kubwa sana vyombo vya dola unlike za kwao ssa wwe unaanzaje linganisha huko na tanzania??

All in all two wrongs dont make a right so usitafute pa kujifichia kwenye sheria ambazo zipo mahakamni ili kujustify uhuni wa chama chenu cha kuminya uhuru wa maoni eti "tuna rais wa ajabu ajabu" ndio uchochezi???? kaz kwelikweli
 
Acha kupanick mkuu hoja inakushinda nimesema hizo zote ziko objected mahakamani ssa unaoata wapinlegality ground ya kuzitumia wakati zipp subjected to ammendments?? Nmezisoma kwa summary ndio maana nmekujibu hivyo

2. Nmekwambia makosa yako specified sio ssi wanasema tu UCHOCHEZI sijui PONOGRAFIA ila hamsemi ni makosa gani yatakuwa deemed ya kichochezi ssa hapo utawezaje linganisha sheria yao na yetu???

3. Pia nmekwambia ya kwetu imewapa nguvu kubwa sana vyombo vya dola unlike za kwao ssa wwe unaanzaje linganisha huko na tanzania??

All in all two wrongs dont make a right so usitafute pa kujifichia kwenye sheria ambazo zipo mahakamni ili kujustify uhuni wa chama chenu cha kuminya uhuru wa maoni eti "tuna rais wa ajabu ajabu" ndio uchochezi???? kaz kwelikweli
soma zote in details acha kukurupuka na kujaza siasa nyingi na kutia chumvi nyingi katika post zako. Haki Inapatikana Mahakamani, Nendeni Mkazipinge Hizo Sheria. Hamjawai Kukubali Kitu. KUPINGA Opposition.
 
soma zote in details acha kukurupuka na kujaza siasa nyingi na kutia chumvi nyingi katika post zako. Haki Inapatikana Mahakamani, Nendeni Mkazipinge Hizo Sheria. Hamjawai Kukubali Kitu. KUPINGA Opposition.
Nisome nni wakati hizo zote nmekwambia zipo mahakamani ssa ntaquote na kukitumia kitu ambacho kinasubiri maamuzi ya mahakama r we serious?????

Wwe jibu hoja yangu kuwa sheria zao zipo specific ya tz je ipo specific?? Wao wameelezea maeneo deemed to be uchochezi je tanzania mmeonyesha hizo??? Kma hamjaonyesha huoni ni mtego ili kukamata kamata mnavyotaka
 
Back
Top Bottom