Ramadhani Juma Abdallah
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 390
- 230
Weee nae una chuki binafsi hakuna alicho fanya saingine wewe hata baba yako hujawahi mnunulia hata shatiMkuu,
Hoja yako ilikuwa nzuri sana yaani wastaafu siasa sawa,
Ila sasa ulichoandika ni uharo mtupu kama sio matapishi,
Huyo unayemsema katimiza nini hasa kafanya mabadiliko yapi tofauti na kumlinda yule mvamia studio za watu,