Edward Lowassa na Fredrick Sumaye ni Vyema Mkastaafu Siasa

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Kwanza natanguliza shukrani zangu kwa mchango na juhudi zenu kubwa katika uchaguzi mkuu wa 2015.
Baada ya uchaguzi mkuu sasa ni miaka 2 na mabadiliko mliyokuwa mkitaka Mheshimiwa Rais Magufuli ameyaleta kwa kasi na umakini wa hali ya juu.
Nyie wote kama mawaziri wakuu wastaafu ni vizuri kwa kulinda legacy yenu kwa kustaafu na kujiunga na club ya mawaziri wastaafu kina Pinda,Malecela,Warioba,Msuya na Salim.
Mchango na ushauri wenu ni muhimu kwa serikali ya awamu ya tano. Kuna msemo wa kiingereza usemao If you cant beat him join him.
 
Taifa liko ktk taharuki ya uchumi wewe unasema mabadiliko waliyokuwa wakiyahubiri yanaletwa na JMP?! Hakuna mabadiliko chanya yatakuja ndani ya ccm, utachoma sana mahindi kwa kutumia mwanga wa mbalamwezi
Mkuu na watu wengine sijui kwanni hawaelewi HAKUNA mabadiliko ndani ya CCM hayajawahi tokea na hayatowahi tokea tutaendelea kushuhudia bunge la NDIOOOO na bajeti hewa kila mwaka !!!!
 
Kwanza natanguliza shukrani zangu kwa mchango na juhudi zenu kubwa katika uchaguzi mkuu wa 2015.
Baada ya uchaguzi mkuu sasa ni miaka 2 na mabadiliko mliyokuwa mkitaka Mheshimiwa Rais Magufuli ameyaleta kwa kasi na umakini wa hali ya juu.
Nyie wote kama mawaziri wakuu wastaafu ni vizuri kwa kulinda legacy yenu kwa kustaafu na kujiunga na club ya mawaziri wastaafu kina Pinda,Malecela,Warioba,Msuya na Salim.
Mchango na ushauri wenu ni muhimu kwa serikali ya awamu ya tano. Kuna msemo wa kiingereza usemao If you cant beat him join him.
Subiri waje na matusi
 
Huo ushauri watautoa wapi zaidi ktk siasa au ulikosea ulichoandika. Huku waliko ndio kizuri zaidi
 
Hakuna mabadiliko chanya kutokea ccm na awamu hii ndo kabisa hakuna hata ndoto ya maendeleo; ni mihemuko kila uchao. Kustaafu siasa ni hiari kama ilivyo kujiunga na siasa. Wala huna sababu ya kuhangaika kumshauri mtu eti astaafu utadhai ulishirikishwa wakati wa kuanza siasa!
 
Kama hadi sasa wasira anahangaika mahakamani basi wao waendelee!!!!
 
Subiri waje na matusi

Ukiongea upuuzi na ujinga tegemea matusi!
Kuna laxima gani ya mtu kustahafu siasa kwa vile yuko upinzani?
Mbona hamkumwambia Dr. Shein akastahafu aliyekuwa Makamu wa Rais(A3)chini ya Mkapa for 8 years. Lakini mwaka 2010 akagombea tena Urais wa Zanzibar na mpaka sasa ameng'ang'ania Ikulu ya Zanzibar kana kwamba yeye pekee ndo anaweza kuitawala Zenj!!!!Kuna Steven Hasira a.k.a Tyson miaka 80 bado anang'ang'ana kurudi Bungeni kwa kesi za kipuuzi! CCM msitake kuwafanya Watz ni mazezeta!!!
 
Ukiongea upuuzi na ujinga tegemea matusi!
Kuna laxima gani ya mtu kustahafu siasa kwa vile yuko upinzani?
Mbona hamkumwambia Dr. Shein akastahafu aliyekuwa Makamu wa Rais(A3)chini ya Mkapa for 8 years. Lakini mwaka 2010 akagombea tena Urais wa Zanzibar na mpaka sasa ameng'ang'ania Ikulu ya Zanzibar kana kwamba yeye pekee ndo anaweza kuitawala Zenj!!!!Kuna Steven Hasira a.k.a Tyson miaka 80 bado anang'ang'ana kurudi Bungeni kwa kesi za kipuuzi! CCM msitake kuwafanya Watz ni mazezeta!!!
Tatizo nyie Bavicha mtafikiria mnaishi kwenye sayari ya Mars. Kwa kasi ya maendeleo ya serikali ya awamu ya tano 2020 mtaisoma namba. Hicho chama chenu kama mmeshindwa kuiendesha kwa hata ruzuku mnayoipata serikalini watanzania wataawamini vipi kuwapa madaraka ?
 
Taifa liko ktk taharuki ya uchumi wewe unasema mabadiliko waliyokuwa wakiyahubiri yanaletwa na JMP?! Hakuna mabadiliko chanya yatakuja ndani ya ccm, utachoma sana mahindi kwa kutumia mwanga wa mbalamwezi
Sina uhakika kama amekuelewa vizuri kwa kuwa hata intelligence yao haiwezi kudetect majanga except lema na Tundu pekee
 
Back
Top Bottom