wakati akiongea, nilimsikia akimsifia kagame, kuwa bora tuwe kaksi kama kagame ili tuendelee, tusiwe legelege, dhaifu dhaifu..tuwe na kiongozi mwenye kuchukua maamuzi magumu kama yana manufaa kwa taifa.....kwa upande fulani...najua jamaa lina kashfa ya richmond,....lakini pamoja na ufisadi wake, nadhani ni bora lowasa mara mia kuliko rais dhaifu....kuwa na rais ambaye kidogo ni dictator kama kagame au lowasa kipindi chake cha miaka miwili kama pm, ni bora mara mia kwasababu tukikumbuka kwa ile 2 years alichachafya wavivu wengi sana na wengine waliacha kazi on da spoti....nadhani tunahitaji rais kama lowasa.....mfano wa kagame...tukijachagua rais dhaifu tena, tutachezewa ngoma za kikwere na hatutafaidi chochote....zaidi ya migawanyo katika nchi na umasikini.
Lowassa ni mpuuzi. Hatuwezi kuendelea kwa kuigiza watu wengine tena madikteta. Heri kuwa Nyerere ili tuendelee kuliko Kagame ambaye ni dikiteta anayenuka na mwizi kama Lowassa. Tanzania hatuhitaji tena kiongozi asiyejiamini. Kwanini rais wa Tanzania asiwe Lowassa au Father of All badala ya Kagame? Ni upuuzi kwa mtu mwenye kivuli kujigeuza kivuli cha mwingine wakati anacho kivuli. Shame on Lowassa mwizi anayepokea pesa ya kustaafu wakati alitimliwa.
Watu kama nyinyi ni matatizo katika inji hiiSpeak for yourself. Ulifungwa mdomo mwenyewe. Mimi sijawahi kufungwa mdomo. Na isingekuwa Nyerere sasa hivi tungekuwa tumeganda na CCM.
Wakati akiongea, nilimsikia akimsifia Kagame, kuwa bora tuwe kaksi kama kagame ili tuendelee, tusiwe legelege, dhaifu dhaifu..tuwe na kiongozi mwenye kuchukua maamuzi magumu kama yana manufaa kwa taifa.....kwa upande fulani...najua jamaa lina kashfa ya richmond,....lakini pamoja na ufisadi wake, nadhani ni bora Lowasa mara mia kuliko rais dhaifu....kuwa na Rais ambaye kidogo ni dictator kama kagame au Lowasa kipindi chake cha miaka miwili kama PM, ni bora mara mia kwasababu tukikumbuka kwa ile 2 years alichachafya wavivu wengi sana na wengine waliacha kazi on da spoti....nadhani tunahitaji rais kama Lowasa.....mfano wa kagame...tukijachagua rais dhaifu tena, tutachezewa ngoma za kikwere na hatutafaidi chochote....zaidi ya migawanyo katika nchi na umasikini.
Wakati akiongea, nilimsikia akimsifia Kagame, kuwa bora tuwe kaksi kama kagame ili tuendelee, tusiwe legelege, dhaifu dhaifu..tuwe na kiongozi mwenye kuchukua maamuzi magumu kama yana manufaa kwa taifa.....kwa upande fulani...najua jamaa lina kashfa ya richmond,....lakini pamoja na ufisadi wake, nadhani ni bora Lowasa mara mia kuliko rais dhaifu....kuwa na Rais ambaye kidogo ni dictator kama kagame au Lowasa kipindi chake cha miaka miwili kama PM, ni bora mara mia kwasababu tukikumbuka kwa ile 2 years alichachafya wavivu wengi sana na wengine waliacha kazi on da spoti....nadhani tunahitaji rais kama Lowasa.....mfano wa kagame...tukijachagua rais dhaifu tena, tutachezewa ngoma za kikwere na hatutafaidi chochote....zaidi ya migawanyo katika nchi na umasikini.
Kweli kabisa.Watu kama nyinyi ni matatizo katika inji hii
Sijui kwa nini watu
wanamsifu Nyerere kiasi hicho.He had his good and dark sides.Kwa mfano
kwa kiasi fulani alifanikiwa kuleta umoja wa Watanzania ingawa sijui kwa
nia gani.Inawezekana ni katika mkakati ule ule wa serikali moja ya
kishetani ya dunia,which is a bad side.Pia alifanikiwa sana katika kutoa
elimu kwa watanzania bure,again sijui kwa nia gani,one can argue on
negative sides of this endevour.Mbaya sana ni kwamba Nyerere
ali-mismanage uchumi wa Tanzania kwa kiwango cha juu sana,kwa hili
sitakuja kumsamehe.No, tuliteseka sana,hasa baada ya vita ya kumng'oa
Iddi Amin.