Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Baada ya yote yaliyotokea, la msingi ni vyama vya upinzani kujitafakari, kujenga mshikamano kwa wale watakao baki ili kuwe na upinzani imara Tanzania. Kwa hili la Lowasa kuna ambao tulijiuliza huyu mheshimiwa ana simamia nini kitu gani hapo CDM, hadi leo sijapata jibu. Ni wakati wa CDM na washirika wake kujibrand upya kwa maneno na vitendo zidi ya Lichamadola. MUNGU WETU HAJA WAHI KUSHINDWA.