Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Kwa nini CCM kimekuwa chama cha kusahau mara moja na kuwaona watanzania ni wapuuzi?
Hamjui wamachinga ni sekta isiyorasmi amabayo imeajiri watu wa kila namna?
Leo hii Tanzania nzima mnawafurusha kuhama mijini. Mnadai mnawahamishia maeneo yanayofaa.
Hayo maeneo mnaodai yanafaa, je yanafikika? Yanafaa kwa soko?
Kuhusu hawa vijana waliojiajiri kupitia umachinga wakipoteza ajira zao, je mtaweza kuwapa ajira mbadala?
Hivi hakuna namna ya kupata suluhu ya kudumu? Maana wanatafuta soko. Je, hakuna namna ya kuwahakikishia soko huko mnakowapeleka?
Hamjui wamachinga ni sekta isiyorasmi amabayo imeajiri watu wa kila namna?
Leo hii Tanzania nzima mnawafurusha kuhama mijini. Mnadai mnawahamishia maeneo yanayofaa.
Hayo maeneo mnaodai yanafaa, je yanafikika? Yanafaa kwa soko?
Kuhusu hawa vijana waliojiajiri kupitia umachinga wakipoteza ajira zao, je mtaweza kuwapa ajira mbadala?
Hivi hakuna namna ya kupata suluhu ya kudumu? Maana wanatafuta soko. Je, hakuna namna ya kuwahakikishia soko huko mnakowapeleka?