Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Waziri Mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifungua mafunzo ya madiwani na viongozi wa majimbo ya chama hicho katika mkoa wa Dar es salaam mchana wa leo.
Waziri Mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifungua mafunzo ya madiwani na viongozi wa majimbo ya chama hicho katika mkoa wa Dar es salaam mchana wa leo.
Kwa Cheo gani?Waziri Mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifungua mafunzo ya madiwani na viongozi wa majimbo ya chama hicho katika mkoa wa Dar es salaam mchana wa leo.
Shida yako nini sasa?ANAJIJENGA tayari kwa kuchukua chama kwa kugombea uenyekiti wa CHADEMA taifa na kupitishwa bila kupingwa
CDM kuna majukumu sio vyeoKwa Cheo gani?
shida yako nini labdaANAJIJENGA tayari kwa kuchukua chama kwa kugombea uenyekiti wa CHADEMA taifa na kupitishwa bila kupingwa
kama nimemuona Dr Mahanga hapo duh ni ngumu kumeza ila acha tusubiri
Jionee huruma kwa umaskini ulionao.Wazee wenzake wamepumzika yeye bado tu anajichosha. Hivi huo Urais ni lazima? kwa umri huu bora angetulia akilea wajukuu anajitesa sana maskini namuonea huruma
Anajichosha kwani anafyatua matofali ndugu?Huyu mzee sijui kwanini anajichosha hivi
Ni kipi kinampa matumaini
. Neno maskini nililotumia na huruma ni kibinaadamu sio ki material.Jionee huruma kwa umaskini ulionao.
Kinachompa matumaini ni kuona nchi yenye utajiri mkubwa inafilisika kwa sababu ya uongozi usio na dira.Huyu mzee sijui kwanini anajichosha hivi
Ni kipi kinampa matumaini
We nani unauliza?Kwa Cheo gani?