Kutoka kwa mwandishi wa Lowassa, Abubakary Liongo ametuma taarifa kwa vyombo vya habari kuwa Monduli CCM imeshinda kwa aslimia 100 na anataka dunia iamini hivyo ,eti Monduli ni kama Kilindi, na hilo ni jambo la uongo wa dhahiri kwani anajua wazi kuwa maeneo yafuatayo CCM imeshindwa ;
1. Kitongoji cha Kambi ya Mkaa CCM 13 na CHADEMA 27
2. Loswira Kitongoji , CCM 34 na CHADEMA 56 tena hapa alishinda mlemAvu .
3. Kijiji cha Mgombani CHADEMA imeshinda Vitongoji vinne
4. Kijiji cha NANJA CCM IMeshindwa
Liongo njoo upinge ukweli huu ndipo wahahriri watumie story yako kesho.
1. Kitongoji cha Kambi ya Mkaa CCM 13 na CHADEMA 27
2. Loswira Kitongoji , CCM 34 na CHADEMA 56 tena hapa alishinda mlemAvu .
3. Kijiji cha Mgombani CHADEMA imeshinda Vitongoji vinne
4. Kijiji cha NANJA CCM IMeshindwa
Liongo njoo upinge ukweli huu ndipo wahahriri watumie story yako kesho.