Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Nashukuru kwa ushauri wako,nafahamu sana kuwa kuna manabii wa uongo wanaotumia jina Na Mungu.
ila kwa kukusaidia tu ni kwamba Huduma ya Mungu hudumu na hudhihirika kwa matendo ya kimungu
Asante kwa kunielimisha pia,ila IMANI ni kitu kigumu sana.