Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nadhani TLS Ina wanachama wasio na akili na mawazo yakujitegemea;wanachama wengi wana mawazo kama yalivyo maono ya Watumishi wa Umma kwamba serikali ikupe posho,salary,nyumba,matibabu nk lakini pamoja na vyote hivyo mtumishi huyu anashindwa kujenga japo nyumba huku asiye na kazi aliyepo Kijijini akifanikiwa kujenga.
Dr.Hosea ni mtumishi wa Umma ambaye kwake kujitegemea siyo kipaombele Wala maono Bali kujitegemea serikali ndio proud kwake. Lakini anashindwa kuelewa kwamba wakati anaomba pesa serikalini anazifanya fedha hizo zisijenge Shule,hospital na kununua madawa apewe yeye ambaye anaongoza wasomi wanaoweza/wanaoweza kujitegemea wakapata kipato. Chama Cha wasomi kinaposhindwa kujiendesha kikaja n sera za constructive engargement ni chama mfu na akipaswi kuitwa Chama Cha wanasheria.
Nchi maskini kama yetu tunatenga bajeti yakusaidia wasomi kuendesha shughuli zao? Tunatenga fedha kuofset fee za wasomi? Wasomi wanaacha kuumiza kichwa kuipatia fedha Nchi wanaumiza kichwa namna yakukaa meza Moja na watawala kula Kodi za walala hoi na wanajipongeza? Huu ni ufinyu wa fikra.
Leo TLS inashindwa Nini kutoza fees and subscription Kwa seniority? TLS inashindwa nini maandiko ya miradi yatakayogharimia baadhi ya activities zake?
Serikali itenge billion kuwasiadia watu wanaotoza mamilioni wananchi Kwenye kesi? Nadhani Dr. Hosea hii constructive engargement hapana huu ni ufikiri wa kiwango Cha chini sana Kwenye Taifa letu.
SAWA umepata hizo Kodi za wananchi,je utaweza kumweleza ukweli huyo mtoa fedha Kwa kuzingatia ñguvu aliyonayo kikatiba? Kenya Mawakili wanalindwa na katiba Nini hizi fedha umezipata Kwa constructive engargement,siku mkizikosa overnight mtajiendeshaje? Au mtaenda mahakamani kuzidai?
Ni fedhea Kwa wasomi kuacha Kuishi Kwa sera za kujitegemea wakaishi Kwa sera za kutegemea. Lini mtakuwa huru? Hakuna watu Kati yenu wamesoma uchumi,miradi, uwekezaji, diplomasia nk wawasaidie kujikwamua hapo mlipo? Kwamba you believe you can have sustainable TLS Kwa ruzuku ya serikali? Seriously?
No nachelea kuwaita wasomi,iishie kusema TLS inajinyonga Kwa mikono yake yenyewe. Sidhani kama young wanasheria wanaambulia chochote Kwa aina hii ya ufikiri. Miaka sitini Tanzania iwe maskini na TLS iwe maskini? Nimegundua kwanini serikali inaajiri Mawakili kutoka nje, thinking ya Mawakili haitoshi hata kidogo kutetea maslahi ya Taifa. They are not thinking big.
Poleni wategemezi wa constructive engargement
Dr.Hosea ni mtumishi wa Umma ambaye kwake kujitegemea siyo kipaombele Wala maono Bali kujitegemea serikali ndio proud kwake. Lakini anashindwa kuelewa kwamba wakati anaomba pesa serikalini anazifanya fedha hizo zisijenge Shule,hospital na kununua madawa apewe yeye ambaye anaongoza wasomi wanaoweza/wanaoweza kujitegemea wakapata kipato. Chama Cha wasomi kinaposhindwa kujiendesha kikaja n sera za constructive engargement ni chama mfu na akipaswi kuitwa Chama Cha wanasheria.
Nchi maskini kama yetu tunatenga bajeti yakusaidia wasomi kuendesha shughuli zao? Tunatenga fedha kuofset fee za wasomi? Wasomi wanaacha kuumiza kichwa kuipatia fedha Nchi wanaumiza kichwa namna yakukaa meza Moja na watawala kula Kodi za walala hoi na wanajipongeza? Huu ni ufinyu wa fikra.
Leo TLS inashindwa Nini kutoza fees and subscription Kwa seniority? TLS inashindwa nini maandiko ya miradi yatakayogharimia baadhi ya activities zake?
Serikali itenge billion kuwasiadia watu wanaotoza mamilioni wananchi Kwenye kesi? Nadhani Dr. Hosea hii constructive engargement hapana huu ni ufikiri wa kiwango Cha chini sana Kwenye Taifa letu.
SAWA umepata hizo Kodi za wananchi,je utaweza kumweleza ukweli huyo mtoa fedha Kwa kuzingatia ñguvu aliyonayo kikatiba? Kenya Mawakili wanalindwa na katiba Nini hizi fedha umezipata Kwa constructive engargement,siku mkizikosa overnight mtajiendeshaje? Au mtaenda mahakamani kuzidai?
Ni fedhea Kwa wasomi kuacha Kuishi Kwa sera za kujitegemea wakaishi Kwa sera za kutegemea. Lini mtakuwa huru? Hakuna watu Kati yenu wamesoma uchumi,miradi, uwekezaji, diplomasia nk wawasaidie kujikwamua hapo mlipo? Kwamba you believe you can have sustainable TLS Kwa ruzuku ya serikali? Seriously?
No nachelea kuwaita wasomi,iishie kusema TLS inajinyonga Kwa mikono yake yenyewe. Sidhani kama young wanasheria wanaambulia chochote Kwa aina hii ya ufikiri. Miaka sitini Tanzania iwe maskini na TLS iwe maskini? Nimegundua kwanini serikali inaajiri Mawakili kutoka nje, thinking ya Mawakili haitoshi hata kidogo kutetea maslahi ya Taifa. They are not thinking big.
Poleni wategemezi wa constructive engargement