Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
Mazee....karatasi za XXXXXXXL hazina ugumu, mizengwe wala masharti mengi. Sharti pekee na muhimu ni penzi tu! Ukiwa nalo hilo karatasi kama unalia vile. Hizo njia zingine wengine zinaweza zikawapa shida kidogo...au unasemaje wewe mazee? Maana najua umeshajivinjari anga za XXXXXXL......LOL....natania mazee
LOOOOOOOOL !! Mazee zile XXXXXL mimi siziwezi kabisa maana mpango wa kuwa na tochi kule ni SOO hahahahah. Ziko hapa size bomba kabisa yaani makini na zinatoa karatasi bila ya matatizo hahahahaha.