Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu nimeamua kuleta uzi huu kwenu ili kutaka kupima kati ya wachambuzi hawa mairi wa Soka nchini ni yupi mwenye uwezo mkubwa wa kuchambua soka la Nchini na nje ya nchi.
ni hayo 2,karibuni kwa kuchangia.
Eddo aliiga uandikaji wa makala za kispoti kutokwa Mr. Liverpool (Kimwaga), baada ya jamaa kuandika makala ya Mr. Liverpool na zile mbwembwe zake, na Eddo akaiga uandikaji wake....Eddo ni mkali....
Shafii Ana copy na ku past..
Kinachonifanya ninunue gazeti la mwanaspoti kila weekend mojawapo ni ukurasa wa Eddo..
Jamaa namkubali nabali sana.!!
Liky anajua nini nyie... yule mzee mbabaishaji hakuna anachojua ktk uchambuzi zaidi kukumbushia matukio ya zamani.
Sio wewe tu, watu wengi humuona.kama nu mchambuzi mahili.
Ukimchunguza vizuri hakuna ambacho huwa anachambua zaidi ya kueleza visa na historia ya zamani kwa timu husika.
Edo yupo juu kuliko dauda. dauda anaongozwa na hisia zaidi badala ya kutafakari mambo kwa kina. Ila huyo likeay ni mzee wa historia tu hana lolote. Kipindi kile alibamba sababu alikuwa peke yake katika anga hizo, ndio akaonekana kama nabii.
Mkuu Edo ni hatari kweli zaidi ya dauda..lakini hawa wote kwa Dr.lick watasubiri sana yule mzee ni nomaa bwana!
Lea ni kichwa cha hatari sanaEdo knows,
Shaffii anasubiri kwa Edo.
Ila kwa nafasi anayopata Geofrey Lea,anawafunika wote. Great potential.
Ldr liki humjui wewe! liki anakupa historia za timu kabla ya mechi na kutokana historia anakwambia nn kinafata na matokeo yanakuja vilevile, liki ni level nyingine bwana! kama vp waulize shafii na edo wanamzungumziaje liki watakwambia
jamalbabumapunda ni vigumu kupambanisha mtu wa print media (Edo) na mtu wa electronic media (Shafii),kitaaluma wote ni waandishi wa habari lakini kiutendaji Wako tofauti sana.
Roho mbaya ni ugonjwaLiky anajua nini nyie... yule mzee mbabaishaji hakuna anachojua ktk uchambuzi zaidi kukumbushia matukio ya zamani.
Sio wewe tu, watu wengi humuona.kama nu mchambuzi mahili.
Ukimchunguza vizuri hakuna ambacho huwa anachambua zaidi ya kueleza visa na historia ya zamani kwa timu husika.