vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
Unamaanisha zile kosakosa za kujirudia ambazo alitakiwa tu kujifunza trick ya kuuchop mpira past a goalkeeperMugalu Kuna kitu anapitia so bure.
Lakini Kuna goli alikosa akiwa na kipa ,Hilo forward yoyote angeweza kukosa!
Pale kipa wa Vita alipunguza Holi...kimsingi pale ilikuwa no uhodari was kipa!
Alichotakiwa kufanya Mugali ni kumpa aliyekuwa kushoto jwake afunge!
Hii ninkea mujibu uzoefu wangu was soka was darasa la tatu!