Nimejizuia sana kusema lakini nimeshindwa.Baada ya kuchunguza matukio mengi ya kisiasa hapa duniani.Binafsi naamini kuwa nAFRIKA ni bara la KIPUMBAVU zaidi kuliko mabara mengine yote hapa duniani.
Haishangazi kuona wale wazungu walitoka kule kuja huku kututawala, walijua kuwa wale watu ni WAPUMBAVU.Ingekuwa tuna akili mambo mawili yangetokea. Ama wasingekuja au sisi tungeenda kuwatawala wao.
Ni bara la KIPUMBAVU ambalo hatuwezi tu kukosoa kazi ya Mwenyezi Mungu lakini kiukweli hata lisingekuwepo bado kusingekuwa na tatizo lolote hapa duniani.
By Edo Kumwembe Facebook page
Alichosema Eddo sio cha kupuuza yawezekana kwa kiasi kikubwa kina ukweli tatizo sisi Africa hatuaandai viongozi,tunaaminishwa wanatoka kwa Mungu au wanaletwa na Mungu( Ilishawahi kutamkwa hata hapa Tanzania na very Senior Bishop kauli kama hii), kwani nani kwenye hii Dunia kaja kwa njia za SHETANI? tunadhani kila mtu anaweza kuwa kiongozi na ndio maana kuna wengine muda wao wa kuwatumikia wananchi ukiisha huamini hakuna wa kuwaongoza ila huwa hawajiulizi je wakifa leo Nchi wanazoziongoza nazo raia wake wote watakufa au maisha yataendelea? na ndio hapo kuna kuja tofauti ya ufikiri kati ya "POLITICAL LEADERS" AND STATE MAN'S" na ni hii hapa chini iliainishwa na Churchill kipindi hicho naye alisema:-
Na siku Nchi za africa zikibahatika kuwa na State Man's basi nadhani kwa tulio wakristo naamini ndio itakuwa mwisho wa hii Dunia si kwa uzao huu au ujao sijajua ni upi, maana kila kuchwao ujinga Africa unaongezeka badala ya kupungua.