Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,190
- 21,522
Binafsi yangu mimi. Messi ni bora ila Ronaldo (CR7) ni bora zaidi ya wote wanaotajwa hapo. Makombe binafsi + makombe ya timu kwa ujumla ndio yanawatofautisha hawa watu. Ukiongelea contribution ya mmoja mmoja na impacts wanayoleta unaona kabisa CR7 kawaacha mbali hao wote.
Ronaldo keshatu prove kwamba anaweza kufanya chochote hata akienda popote Messi kacheza ligi moja ni tofauti kabisa kiupinzani aliokutana nao Ronaldo na Messi. Yaan Ronaldo kakutana na timu nyingi kuliko Messi japo uchezaji ni ule ule ila kamwe hawa watu hawawezi kufanana.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ronaldo keshatu prove kwamba anaweza kufanya chochote hata akienda popote Messi kacheza ligi moja ni tofauti kabisa kiupinzani aliokutana nao Ronaldo na Messi. Yaan Ronaldo kakutana na timu nyingi kuliko Messi japo uchezaji ni ule ule ila kamwe hawa watu hawawezi kufanana.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app