Ndo taabu ya kucheza mpira Bongo. Lunyamila sasa hivi ni driver taxi.
Ndo taabu ya kucheza mpira Bongo. Lunyamila sasa hivi ni driver taxi.
Lunyamila alikuwa na kipaji cha aina yake. Jamaa namfagilia. Inasikitisha mno hakupata chance ya kwenda kucheza soka ughaibuni kunakoeleweka sio umangani. Nakumbuka aliwahi kupata chance ya kufanya trials na FC Koln kule Bundesliga sasa sijui ilikuwaje
Hivi huyu jamaa yuko wapi kwa sasa na anafanya nini?
Huyu jamaa anaishi kwake Mbezi kwa Yusuph.
Lunyamila alikuwa na kipaji cha aina yake. Jamaa namfagilia. Inasikitisha mno hakupata chance ya kwenda kucheza soka ughaibuni kunakoeleweka sio umangani. Nakumbuka aliwahi kupata chance ya kufanya trials na FC Koln kule Bundesliga sasa sijui ilikuwaje
Ndo taabu ya kucheza mpira Bongo. Lunyamila sasa hivi ni driver taxi.
Statement nyingine sio za kuamini humu ndani! Hivyo msomaji yeyote akiwa katika kijiwe akipeleka info kama hizi inaweza ikaleta matokeo hasi! Ila jamaa alienda German kweli? Sio UK?
Duh! dereva tax! mbona nilisikia ni mlinzi! ila alimaliza tambaza! ila alikuwa noma.