kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwa nini Yanga hawalalamiki sasa hivi kama wanaona ratiba imepangwa na wao hawamo?
Kwa nini wanasubiri bodi yenyewe ishituke ndio waanze kuja na hisia eti watapangiwa mechi za karibu karibu baadae?
Edgar kibwana nimesikia unasema yanga wanataka kuonewa,kwa nini usiseme wanapendelewa ili waendelee kuwa na viporo?
Si ni wewe ulikuwa ukilalamika Simba kuwa na viporo vingi?Uliona kama simba anapendelewa na kutokana na uchambuzi maandazi ulionao,ulifikia kuhisi kuwa pengine kuna mipango itafanywa kupanga matokeo!
Kwa nini usihisi hivi kwa yanga ambayo ina wachezaji wapya na wanataka watengeneze chemistry nzuri kabla ya kucheza na mtibwa aliyecheza leo na jumapili anacheza tena?
Nakushauri wewe na wachambuzi wenzio akina kotinyo muache mahaba na yanga muwe weledi kwenye kazi yenu.Acheni ukanjanja,hiyo Radio mnayotangaza ni kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini wanasubiri bodi yenyewe ishituke ndio waanze kuja na hisia eti watapangiwa mechi za karibu karibu baadae?
Edgar kibwana nimesikia unasema yanga wanataka kuonewa,kwa nini usiseme wanapendelewa ili waendelee kuwa na viporo?
Si ni wewe ulikuwa ukilalamika Simba kuwa na viporo vingi?Uliona kama simba anapendelewa na kutokana na uchambuzi maandazi ulionao,ulifikia kuhisi kuwa pengine kuna mipango itafanywa kupanga matokeo!
Kwa nini usihisi hivi kwa yanga ambayo ina wachezaji wapya na wanataka watengeneze chemistry nzuri kabla ya kucheza na mtibwa aliyecheza leo na jumapili anacheza tena?
Nakushauri wewe na wachambuzi wenzio akina kotinyo muache mahaba na yanga muwe weledi kwenye kazi yenu.Acheni ukanjanja,hiyo Radio mnayotangaza ni kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app