Eddo Kumwembe: Zamani tulioishia darasa la saba tuliwaogopa Maprofesa, siku hizi hatuna cha kuwahofia...

Ukiachana na ao professors, kiukwel elimu ya Tanzania mimi binafsi sijawai kuiamin, tunaishi tu
 
Ni Tanzania tu utapatawa watu wa elimu ya chini wanaohoji uwezo wa phd holder
Ndio mana hata chadema wanadharau uwezo w Mwesiga Baregu au professor Kalyogera Kahigi,anasikilizwa mchungaji msigwa au saeed kubenea
We acha upuuzi kutaka ku-spin mada, Chadema wanakujaje hapa? Jadili hoja ma PhD holder na ma poropesa wa kitanzania akili zao ni kama za darasa la nne kutokana mienendo na misimamo yao hapo awali na sasa.

Kwani hawa wasomi uchwara ambao wangestahili kuwa think tank ya taifa wamelisaidia vipi nchi yetu kwenye maswala ya uchumi, siasa na kijamii?

Miswada mingi ya sheria za kinyonyaji na kandamizi kwa rasilimali za taifa na jamii kwa ujumla huandaliwa na hao wapuuzi na hatimae kupitishwa na wapuuzi wengine bungeni na kuwa sheria baada ya kupata baraka za mpuuzi mwingine, matokeo yake mabomba ya rasilimali zetu kuelekea ulaya. Hakuna cha kuhofia wala kuogopa PhD's na uporofeseli.
 
Ni aina ya maisha tunayopenda watanzania kwa sasa kifupi tumekata tamaa
Prof nae ana Mke anaependa aitwe Mke wa Mheshimiwa Kuliko kuitwa Mke wa Profesa

Prof Ana Mtoto anependa aitwe Mtoto wa Mheshimiwa akiingia Shule mpaka Mkuu wa Shule ajue kuna Mtoto wa Mtu Maalum yupo Kwenye eneo la Shule

Kimada wa Prof anapenda Prof awe Na uwezo wa kumnunulia chochote sio akili ya kuweza kumchambulia jambo lolote

Nadhan naeleweka Vijana
 
Mh. Purura Gamba Ka- buti na Hafi Polepole walituingiza mkenge kwenye mchakato wa Katiba Mpya. Da huwa nikikumbuka imani niliyokuwa nayo kwa watu hawa. Kwa kweli nashangaa sana. Kweli duniani kuna mambo.
 
Hutundei haki sisi standard seven drop outs kwa kutulinganisha na maprofesa njaa. Maprofesa our greatest shame.
 
Hata wao ni binadamu wanataka pia vitu vizuri kama cheo,Mshahara mkubwa,maisha mazuri kama sisi hivyo kukana misimamo yao kusitushangaze tujaribu kuelewa.
 
Hata mimi heshima niliyokuwa nawapa nimefuta, toka nilivyoangalia sijui debate pale mlimani sina wivu au sitamani kuwa dk au prof.
 
Edo umetukosea adabu sana sisi darasa la saba,

Hao unaowasema tumefanana nao si kweli,maprofesa ninaowaona kwenye siasa za nchi hata mtu aliyesoma "Ngumbalu" hawezi akafanya hayo wanayoyafanya sembuse sisi la saba tulifundishwa tukafundishika............!
 
Tatizo lenu mnapenda kusikia yale mnayotaka ninyi tu,hamtaki kabisa habari hasi
Wewe na cheti chako cha uhazili tabora unahoji uwezo wa phd holder kisa kaongea kinyume na unayoyapenda
Na wewe bro si uangalie ukweli?
Siyo kutaka kusikia anayotaka,angalia na uzito wa hoja,vinginevyo na wewe utakuwa m bishi bila sababu
 
Back
Top Bottom