Eddie Ganzel nimemsoma vitabu vyake, pamoja na kina Ben Mtobwa, Hammie Rajab na baba lao Eristablus Elvis Musiba.
Yap nami namkumbuka sana huyu mwandishi pamoja na akina Sam Kitogo, S.M.Bawji, faraj Katalambula, Agolo Andulu. kwani na hammie rajab yu wapi?
Baadhi ya vitabu nilivyosoma vya waandishi hawa ni hivi
>Roho mkononi
>Awe hai au amekufa namtaka
>Nimekoma ukuwadi na shogayo hasidi
>Njama, Kikomo, Kikosi cha kisasi & kufa na kupona
>Simu ya Kifo
>Joto la fedha
ha ha ha ilikuwa raha kwakweli wakati ule.
- Kipi KikusikitichashoYap nami namkumbuka sana huyu mwandishi pamoja na akina Sam Kitogo, S.M.Bawji, faraj Katalambula, Agolo Andulu. kwani na hammie rajab yu wapi?
Baadhi ya vitabu nilivyosoma vya waandishi hawa ni hivi
>Roho mkononi
>Awe hai au amekufa namtaka
>Nimekoma ukuwadi na shogayo hasidi
>Njama, Kikomo, Kikosi cha kisasi & kufa na kupona
>Simu ya Kifo
>Joto la f
ha ha ha ilikuwa raha kwakweli wakati ule.
Ni kweli Eddy Gnzel alifariki miaka miwili ilyopita na Tanzia yake ilikuwa kwenye magazeti. Nadhani jina lake halisi ni Mohammed na Eddy lilikuwa la uandishi.Huo ni ukweli, vitabu ivi vilivutia sana. Chukulia njama, kikosi cha kisasi, hofu vy Msiba, tutarudi na roho zetu, mikononi mwa nunda vya Ben mtobwa. Kwa kweli nilikuwa nikianza kukisoma silali kabisa. enzi hizo makwetu na vibatari macho hayakuchoka kabisa.
kuhusu eddy ganzel habari za mwisho mwaka jana kulikuwa na romous kama amefariki ila sina ihakika sana.
Mkuu inasikitisha sana, maana waandishi wa leo wote ni copy and paste tu, hakuna uandishi tena.Eddie Ganzel, A. E. Musiba, Ben Mtobwa na Hammie Rajabu wameshatutoka. Je baada yao ni mtanzania gani aliyeweza tena kuandika vitabu vinavyovutia kusoma kiasi cha kumfanya msomaji kusisimka, au tuseme fani ya uaadishi wa tamithilia ndio umekiwsha kabisa. Niliwahi kuosoma tamithilia moja iliyoandikwa na Eric SHigongo nikapata kichefuchefu kabisa.
Eddie Ganzel, A. E. Musiba, Ben Mtobwa na Hammie Rajabu wameshatutoka. Je baada yao ni mtanzania gani aliyeweza tena kuandika vitabu vinavyovutia kusoma kiasi cha kumfanya msomaji kusisimka, au tuseme fani ya uaadishi wa tamithilia ndio umekiwsha kabisa. Niliwahi kuosoma tamithilia moja iliyoandikwa na Eric SHigongo nikapata kichefuchefu kabisa.
wanafunzi walikuwa wakiinamia kusoma vitabu hivi ilhali mwalimu yu afundisha darasani, ni hapo mwalimu atakapokushtukia......kitabu unanyang'anywa. Omba Mungu unyang'anywe chako... i mean kisiwe cha kuazima.
Kuna mtunzi anaitwa anaitwa Hussein Tuwa.........Jamaa ni mzuri sana kwenye utunzi,anatunga Riwaya/Vitabu vitamu sana...Hao jamaa walikuwa Magwiji mahiri wa riwaya za kusisimua pia alikuwapo John Rutayisingwa na Agoro Anduru
kwa sasa wanajitahidi kuendeleza fani ni Beka Mfaume na Ndalichako
huyo jamaa mwingine uliyemtaja cjui huwa anaandika nini mpaka page inajaa