Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 71
- 195
Ed Woodward amejiuzulu wadhifa wake kama Mwenyekiti wa Klabu ya Manchester United.
Kujiuzulu kwake kunakuja baada ya wadau waandamizi wa klabu hiyo kuitikia wito kuwa klabu hiyo imewadharau mashabiki kwa kujiunga na Super League.
Kujiuzulu kwake kunakuja baada ya wadau waandamizi wa klabu hiyo kuitikia wito kuwa klabu hiyo imewadharau mashabiki kwa kujiunga na Super League.
Vyanzo vya habari Manchester vinaripoti kuwa Manchester United imejiunga na Chelsea pamoja na Manchester city kuandaa nyaraka za kutaka kujiondoa kwenye Ligi hiyo mpya.