Magari mengi ya kisasa yanatumia mfumo wa *smart key* ambayo inakuwa ina programmed key ambayo itatumika kwa gari usika tu mfumo huu unaweka mawasiliano kati ya *Control unit* immobillzer Unit pamoja na Funguo.
Kwa maana hiyo funguo itatumia tu ile iliyotambulishwa kwenye control ya gari usika uhusiano huu kama ukibadilisha tu kimoja kati ya control au funguo gari automatical inaingia kwenye Lockmode utaona kitaa chekundu cha alama ya gari chenye ufunguo katikati
Ikitokea hvyo hiyo gari haitoweza kuwaka kamwe mpaka ifanyiwe programing ili kuitambulisha control pamoja na funguo kwa immobilizer usipate tabu ukishaona ili tatizo wasiliana nami kwa no 0716505153
gharama zangu ni nafuu sana hii ni kwa ghari zote za ulaya na japani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maana hiyo funguo itatumia tu ile iliyotambulishwa kwenye control ya gari usika uhusiano huu kama ukibadilisha tu kimoja kati ya control au funguo gari automatical inaingia kwenye Lockmode utaona kitaa chekundu cha alama ya gari chenye ufunguo katikati
Ikitokea hvyo hiyo gari haitoweza kuwaka kamwe mpaka ifanyiwe programing ili kuitambulisha control pamoja na funguo kwa immobilizer usipate tabu ukishaona ili tatizo wasiliana nami kwa no 0716505153
gharama zangu ni nafuu sana hii ni kwa ghari zote za ulaya na japani
Sent using Jamii Forums mobile app