ECOWAS ni Jumuiya ya nchi za Africa Magharibi wapo Makini na Demokrasia ya kweli tofauti na EAC au SADC..
Tume za uchaguzi zipo huru na haziingiliwi...Wananchi wanachagua Kiongozi wao....
Wenzentu wa Africa Magharibi wako mbali kimaendeleo
ECOWAS wanafanya mazungumzo ili RAIS king'ang'anizi atoke madarakani na ili mshindi aapishwe..
ECOWAS wataingiza Jeshi kama atakuwa mbishi
Je EAC na SADC mko wapi?
Tume za uchaguzi zipo huru na haziingiliwi...Wananchi wanachagua Kiongozi wao....
Wenzentu wa Africa Magharibi wako mbali kimaendeleo
ECOWAS wanafanya mazungumzo ili RAIS king'ang'anizi atoke madarakani na ili mshindi aapishwe..
ECOWAS wataingiza Jeshi kama atakuwa mbishi
Je EAC na SADC mko wapi?