Mekatilili
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 1,613
- 1,382
2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
😂 😂 😂 😂 😅Hao IMF wamejifanya hawaoni uwekezaji unaofanyika sasa Tanzania. Bandari (ziwa Tanganyika, Mtwara na Dar), Reli (Tanga, Kati na SGR), Rufiji Dam, Masoko ya Madini, Usafiri wa anga n.k
You really believe this?2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
Kwanza umeme utakua wakutosha sana,SGR Itakua na mtandao zaidi ya km 1500 ,barabara ndio sipat picha
😂😂😂😂😂2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
Kwanza umeme utakua wakutosha sana,SGR Itakua na mtandao zaidi ya km 1500 ,barabara ndio sipat picha
😂 😂 😂 😂 😅2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
Kwanza umeme utakua wakutosha sana,SGR Itakua na mtandao zaidi ya km 1500 ,barabara ndio sipat picha
Hao IMF wamejifanya hawaoni uwekezaji unaofanyika sasa Tanzania. Bandari (ziwa Tanganyika, Mtwara na Dar), Reli (Tanga, Kati na SGR), Rufiji Dam, Masoko ya Madini, Usafiri wa anga n.k
2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
Kwanza umeme utakua wakutosha sana,SGR Itakua na mtandao zaidi ya km 1500 ,barabara ndio sipat picha
😂😂😂😂😂 Punguza bangi aisee!2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
Kwanza umeme utakua wakutosha sana,SGR Itakua na mtandao zaidi ya km 1500 ,barabara ndio sipat picha
Hats zitto kabwe alikuwa anaropokwa kama wewe saa hii,yeye alikuwa anasema Tanzania itakua ya 5 africa kwa uchumi na Kwanza East Africa kamuulize saa maoni yake2024 TZ hamtakua mnaigusa kimaendeleo ndio yale yake ya NIGERIA na South Africa
Kwanza umeme utakua wakutosha sana,SGR Itakua na mtandao zaidi ya km 1500 ,barabara ndio sipat picha
Tz inakuja kua nchi imara sana miaka 5 mbele...mtakubali tu wenyeweHats zitto kabwe alikuwa anaropokwa kama wewe saa hii,yeye alikuwa anasema Tanzania itakua ya 5 africa kwa uchumi na Kwanza East Africa kamuulize saa maoni yake
Imagining Tanzania: 5th largest Economy in Africa and largest in EAC by 2025
Zitto Kabwe Few days ago I received an email from a friend about Standard Chartered Bank forecasts on the African Economies. The Bank listed 10 largest economies in Africa and did a simulation for …zittokabwe.wordpress.com
hizi ngeli mtazikoma lini??Tz inakuja kua nchi imara sana miaka 5 mbele...mtakubali tu wenyewe
Nilisoma article jana tu katika gazeti la The Economist magazine walisema "Magufuli sees economic growth thru a single prism of mega projects and the state and state alone" .Sasa wewe Chamoto naona unaugua ugonjwa huo huo pia.Economic growth is an all inclusive process -people ,private sector and NGO's too ...you have to build a middle class to drive a sustainable economic growth.Hao IMF wamejifanya hawaoni uwekezaji unaofanyika sasa Tanzania. Bandari (ziwa Tanganyika, Mtwara na Dar), Reli (Tanga, Kati na SGR), Rufiji Dam, Masoko ya Madini, Usafiri wa anga n.k
hilo tuachie sisi.subiri matokeo.Nilisoma article jana tu katika gazeti la The Economist magazine walisema "Magufuli sees economic growth thru a single prism of mega projects and the state and state alone" .Sasa wewe Chamoto naona unaugua ugonjwa huo huo pia.Economic growth is an all inclusive process -people ,private sector and NGO's too ...you have to build a middle class to drive a sustainable economic growth.