Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
- Thread starter
- #41
Mkuu uwekezaji na mikopo ni vitu viwili tofauti kabisa. Hapa tunazungumzia uwekezaji na sio mikopo. Sasa uwekezaji unasababishaje mikopo?Robot tatu ya uzi umeongea mwenyewe kwa kuuliza maswali na kujijibu hii no dalili kuwa wewe ni dalali wa wachina.
China sio nchi nzuri sana kuwekeza sera yao ya madeni ni hatari hasa kwa nchi zetu hizi ambazo hazina intelligence nzuri. Anakukopesha then anakufanyia sabotage ushindwe kulipa deni achukue miundombinu yako.
Nashauri selikari isiwekeze mradi wowote wa kimkakati na China.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Halafu hata hili suala la kukopa na ku attach mali, kisha unashindwa kulipa mali inachukuliwa, sasa wakulaumiwa ni aliekopesha, au aliyekopa bila umakini? Ndio maana mjadala unauliza ni ni ni tunataka, ili tusije ku claim ambacho hatutaki.
Kwa maoni yako, tunatumia vizuri uhusiano wetu na China? Kama bado, ni vitu gani tunaweza kufanya ili tunufaike zaidi?