Ndugu wadau mimi niko mwanza wilaya ya nyamagana nina kama laki 8 nataka nianzishe miradi ya chipsi, sasa naomaba mnipe ushauri kwanza mimi nina wazo kua katika hizo laki nane nifungue vijiwe vinne ambapo kila kijiwe nimekipangia laki moja kukianzisha.
Naombeni ushauri wakuu.
Naombeni ushauri wakuu.