Mmeo akiwa mchafu Basi wew utakuw mchafu zaidi yake..suala la usafi lina depend Zaid kwa mwanamke coz ndie anae take care of kwa mmewe..Mvuta sigara, mvuta bangi,mchafu kunuka, na asiekuwa na means of kutafuta pesa.
Na asiekua muislamu
kwenye uislamu huo ni ubaguzi kama ubaguzi mwingine tu ,wewe si ndie ulkua unasema wachagga wabaguzi wwMvuta sigara, mvuta bangi,mchafu kunuka, na asiekuwa na means of kutafuta pesa.
Na asiekua muislamu
Mkuu...Siwezi kuwa na mtu ambae si Dini yangu..Kama Ni ubaguzi basi na uwe ubaguzi.kwenye uislamu huo ni ubaguzi kama ubaguzi mwingine tu ,wewe si ndie ulkua unasema wachagga wabaguzi ww
Sitaki mwanaume mchafu...nataka mwanaume nadhifu.Mmeo akiwa mchafu Basi wew utakuw mchafu zaidi yake..suala la usafi lina depend Zaid kwa mwanamke coz ndie anae take care of kwa mmewe..
We unaonekana ata unachokiongea hujakielewa.. sas mme ukishakuwa nae ndani anakuaje mchafu Tena unless otherwise humjali Kam mmeo.ila Kam unasemea bwana nakubali..Sitaki mwanaume mchafu...nataka mwanaume nadhifu.
Mnakwenda wapi nyinyi?Njoo pm
Mkuu nimekupa LIKE hapo
Baki na udini wako Apo usimwamini mungu na kumiliki pesa zako,dini zenyewe zimeletwa na meli tuh apa AfricaMvuta sigara, mvuta bangi,mchafu kunuka, na asiekuwa na means of kutafuta pesa.
Na asiekua muislamu
Watu hao hawakuwahi kuzaliwa buza wamezaliwaga upanga,oysterbay na kwinginepo,unajuwa sana kulenga dogoPia kuna vigezo nataka kma we ni mcheza poa ila kama sio basi angalau uwe mfanya mazoezi yawe ya GM au ya kukimbia barbaran naoenda tu ile asubuh tuamke tuanze kukimbia wote jione twende GM
Kuna wanaume Ni wachafu ..wachafu..wachafu...Hadi keroWe unaonekana ata unachokiongea hujakielewa.. sas mme ukishakuwa nae ndani anakuaje mchafu Tena unless otherwise humjali Kam mmeo.ila Kam unasemea bwana nakubali..
Nimeipenda hiiNever say never....moyo una mambo ya ajabu sana
Unaweza kuandika hapa siwezi kuwa na mwanaume mvuta sigara ikatokea ukaangukia kwa anayevuta sigara na bangi pia
Binafsi naweza kuwa na mahusiano na mwanaume yoyote lakini sipendi mwanaume mropokaji,mwenye kitambi na mfupi kuliko mimi
Kupangia moyo wa kumpenda ni jambo gumu kidogo