Hance Mbuya
Member
- Apr 11, 2012
- 45
- 12
Maisha ni mzunguko,katika hali inayoshangaza ni kuwa unaweza ukaamua jambo na baadae kushindwa kufanikisha au kutokulifanya kabisa.
Jambo lenyewe linaweza kuwa ni la urafiki kati ya mwanamke na mwanaume.Urafiki naouzungumzia hapa ni ule wa kimapenzi.Mwanzo wa urafiki huu huwa mzuri sana mpaka wakati mwingine unamuuliza,ulikuwa wapi siku zote?.Hufikia hatua ya kuwekeana ahadi kwamba nitakuoa,ww ndio chaguo langu la mwisho hakuna lingine.
Kiukweli maneno hayo hutoka moyoni kwa mwanaume,wakati mwingine mwanaume husema,''daah niliwahi kuwa na dem lakini huyu anawafunika woote niliowahi kuwa nao''bila kujua hata wale mwazo wao ulikuwa kama huu.
Yote hayo hufanyika mwanzo kabisa wa mahusiano,ikifika katikati ya mahusiano hapa kila mmoja kashamzoea mwenzake,zile sms zinapungua kama zilikuwa zitumwa kila asubuhi na jioni zitatumwa jioni tu,na kama alikuwa na mazoea ya kuja nyumbani mara kwa mara atakuja mara moja kwa wiki tena umuombe.Inapofika stage hii ndo dalili za kuachana zinakaribia.
Hatua inayofikia ni kuachana,mipango yote ya kuoana imeishia hapo na kila mtu anaangalia ustaarabu wake.Unaweza kujiuliza ni kwann haya hutokea lakini ukweli ni kwamba wanawake wana dharau sana baadhi yao,akiwa anasumbuliwa kila kukicha na wanaume wenye hali zaidi kuliko ww huwa wanaanza dharau na wakati mwingine wanakunyari kana kwamba unaweza kumuhudumia weye?
NBharau si nzuri,heshima umepewa na Mungu hununui popote,tunza heshima yako ili uheshimiwe na wengine hata watoto usipowaheshimu nao hawatakuheshimu..
The end.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Jambo lenyewe linaweza kuwa ni la urafiki kati ya mwanamke na mwanaume.Urafiki naouzungumzia hapa ni ule wa kimapenzi.Mwanzo wa urafiki huu huwa mzuri sana mpaka wakati mwingine unamuuliza,ulikuwa wapi siku zote?.Hufikia hatua ya kuwekeana ahadi kwamba nitakuoa,ww ndio chaguo langu la mwisho hakuna lingine.
Kiukweli maneno hayo hutoka moyoni kwa mwanaume,wakati mwingine mwanaume husema,''daah niliwahi kuwa na dem lakini huyu anawafunika woote niliowahi kuwa nao''bila kujua hata wale mwazo wao ulikuwa kama huu.
Yote hayo hufanyika mwanzo kabisa wa mahusiano,ikifika katikati ya mahusiano hapa kila mmoja kashamzoea mwenzake,zile sms zinapungua kama zilikuwa zitumwa kila asubuhi na jioni zitatumwa jioni tu,na kama alikuwa na mazoea ya kuja nyumbani mara kwa mara atakuja mara moja kwa wiki tena umuombe.Inapofika stage hii ndo dalili za kuachana zinakaribia.
Hatua inayofikia ni kuachana,mipango yote ya kuoana imeishia hapo na kila mtu anaangalia ustaarabu wake.Unaweza kujiuliza ni kwann haya hutokea lakini ukweli ni kwamba wanawake wana dharau sana baadhi yao,akiwa anasumbuliwa kila kukicha na wanaume wenye hali zaidi kuliko ww huwa wanaanza dharau na wakati mwingine wanakunyari kana kwamba unaweza kumuhudumia weye?
NBharau si nzuri,heshima umepewa na Mungu hununui popote,tunza heshima yako ili uheshimiwe na wengine hata watoto usipowaheshimu nao hawatakuheshimu..
The end.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums