Konkmaster
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 360
- 291
Wa JF, Tujifunze kudadisi uhalisia na udhibitishaji wa habari kabla ya kuzisambaza kama ilvyokua habari za chui wa Goba. Ni tahadhari wengine tulijifugia ndani saa kumi na mbili jioni.
Kuwekeana hofu bila sababu Waziri Ummy kakanusha hakuna Ebola