Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es
Salaam jana, Sumaye pia alikana kukutana na
viongozi wa Chadema kujadili hatima yake ya
kisiasa baada ya uchaguzi huo... Kama ningekuwa
nimekutana na viongozi wa chama hicho
ningesema kwa kuwa hata wengine wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba huwa wanakutana nao,
alisema Sumaye bila kufafanua.
source.mwananchi
My take: kumbe wanajua kuwa kama unautaka urais na rais ajaye lazima atoke chadema
Salaam jana, Sumaye pia alikana kukutana na
viongozi wa Chadema kujadili hatima yake ya
kisiasa baada ya uchaguzi huo... Kama ningekuwa
nimekutana na viongozi wa chama hicho
ningesema kwa kuwa hata wengine wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba huwa wanakutana nao,
alisema Sumaye bila kufafanua.
source.mwananchi
My take: kumbe wanajua kuwa kama unautaka urais na rais ajaye lazima atoke chadema