nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Kwa wapenzi wa kipindi Friday Night Live aka FNL, tunakosa ladha ya kipindi kwa kukosekana kwa vinasa sauti vya ziada kwaajili ya kutumiwa na wageni wanapokuwa Studio kwenye mahojiano. Mitindo mnaotumia kupekezana kifaa kimoja kinaongeza muda wa kipindi na baadhi ya wageni kuondoka bila kuongea hata neno moja, kitendo hicho kinawafanya kama wamekuja kuonesha sura. aka Kuuza Nyago.