Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Mtangazaji wa EATV mwanadada Joyce Kiria kuna maneno haya anayatumia kwenye kipindi chake cha sinema za ki-Tanzania.."indutu-nnyo" maneno haya yote mawili yanamaanisha kiungo cha uzazi cha mwanamke kwa baadhi ya makabila yetu hapa nchini.
Na kuna kila dalili mtangazaji huyu anajua maana ya maneno hayo kwani inasekana kuna watu mitaa ya Kinondoni walimwita Indutu!!!! alikasirika vibaya sana!! Huyu mtangazaji inasemekana pia ameishawahi kufungwa jela na ndiko alijifunzia tabia hii.
Sio ustaarabu bwana, hata kama eti kwa ki-lingala yana maana nyingine, si watafute jina lingine?? Kuna watu wanakimbia Lunninga zao wakisikia maneno hayo!
Na kuna kila dalili mtangazaji huyu anajua maana ya maneno hayo kwani inasekana kuna watu mitaa ya Kinondoni walimwita Indutu!!!! alikasirika vibaya sana!! Huyu mtangazaji inasemekana pia ameishawahi kufungwa jela na ndiko alijifunzia tabia hii.
Sio ustaarabu bwana, hata kama eti kwa ki-lingala yana maana nyingine, si watafute jina lingine?? Kuna watu wanakimbia Lunninga zao wakisikia maneno hayo!