Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Kuna akina dada wawili wapo live studio wakitetea hoja ya kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja. Mmoja anasema anao watatu ambao anawapanga na hawajawahi kugongana. Kuna mwanaharakati anapinga hii ishu ila inaonekana kama anazidiwa na hawa mabinti......wadau mna mtazamo gani?