Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
Wanabodi, jana ilipofika saa sita usiku chanel za mzee Mengi zikawa hazionyeshi tena, sasa naomba kuuliza ni kwamba Mzee Mengi kajitoa ili tununue kingamuzi chake au kuna nini hapa? Hawa tcra wanafanya kazi gani maana star tv ilishajitoa mapema sasa huu si tutakua na utitiri wa vingamuzi ? Mwenye details ya hii mambo naomba anijulishe