Easy Sunday Clouds leo mmekuwaje?

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Mbona hizo mnazopiga kila kituo hata vyetu huku mikoani ndo zinapigwa?

Huyo DJ sijui clash designer hafai kuwa hapo.Tunataka zile country tulizozizoea
 
Halafu viredio vyetu huku mikoani navyo vimejaa ujinga ujinga tu kuiga mambo ya hovyo kama vile miziki ya ngono ya hawa vijana wa bongo fleva.

Miziki ya maana imekuwa adimu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom