CottonEyeJoe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2008
- 331
- 72
Mhhh.. hapa kuna jambo, Kwa hiyo ndiyo kusema hakuna ushaidi wowote wa utapeli wa Easy Finance, jamani hamna hata mtu mmoja kati ya waliolizwa walifika polisi na ku-reporti na kama hapana kwa nini walichagua kutotoa malalamiko katika viyombo usika kama wamedhurumiwa??? Je Easy finance walikiuka msharti yoyote ambayo yaliweka kwenye mikataba kati yao na wateja wao???