East Africa's Tallest Towers (Complete and Under Construction)

Ulishajenga nyumba ndefu ukaulizwa ela umetoa wapi?
Eeh Nilitaka Kujenga Jengo Refu La Hotel Ya Nyota 5 Ila Nilipoona Mahotel Yanafungwa Nikaghairi.
Nikakumbuka Kwamba Mkuu Aliahidi Kuwashusha Matajiri Wawe Maskini. Kwa Hiyo Awamu Hii Hataki Matajiri. Unategemea Hayo Majengo Atajenga Nani
 
Eeh Nilitaka Kujenga Jengo Refu La Hotel Ya Nyota 5 Ila Nilipoona Mahotel Yanafungwa Nikaghairi.
Nikakumbuka Kwamba Mkuu Aliahidi Kuwashusha Matajiri Wawe Maskini. Kwa Hiyo Awamu Hii Hataki Matajiri. Unategemea Hayo Majengo Atajenga Nani
Katika Yale majengo marefu yote dar, ni lipi linamilikiwa na individual Tajiri?
I hate ignorant idiots like you
 
Site uchwara MZIZIMA ni nyumba ndefu kuliko TPA how comes iwe 134M ??even PPF ni zaidi ya 160m btw ukiwa sio mbishi ukifuatilia utajua

Emporis is a recognised source of information on skyscrapers. It's a better source than your wishful thinking.
 
Awamu Hii Sidhani Kama Tutaona Majengo Marefu Yakijemgwa Bongo, Maana Matajiri Hawa Hamu Na Hii Awamu, Ukijenga Tu Utaulizwa Hela Umetoa Wapi.
Acha Kenya Watunyooshe Tu
Hakuna Namna Ingine.
HILI SIYO JUKWAA LA SIASA
 
Geza Hawa huwa hawataki kuamini ,britam mnara meter 40 wanasema nao wananyumba ndefu. ..ndio maana list zingine hua wanasema kabisa exclude minara
Hata ukitoa hio mita 40 au sijui ngapi, bado Britam inaziba Tpa makofi mazito mazito. Ni namba tu mtasoma mgongoni.
 
Eeh Nilitaka Kujenga Jengo Refu La Hotel Ya Nyota 5 Ila Nilipoona Mahotel Yanafungwa Nikaghairi.
Nikakumbuka Kwamba Mkuu Aliahidi Kuwashusha Matajiri Wawe Maskini. Kwa Hiyo Awamu Hii Hataki Matajiri. Unategemea Hayo Majengo Atajenga Nani
Magufuli anashida na wenye pesa haramu sio wenye pesa safi ndo maana kila siku viwanda vipya vinafunguliwa nchini.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Where is CBK 27 floors
88 NAIROBI tower 44 floors
Cytonn 35*3 floors
Habitat 23 floors
...My city is on fire!
 
Huwezi Ikimbia Siasa Popote Pale, Huwezi Itenganisha Siasa Na Uchumi, Huwezi Itenganisha Siasa Na Maisha Ya Kila Siku Ya Binadamu. You Will Be Fooling Yourself
I'm pretty sure the first fool is you, go to the Club, Bar, Casino then bring your Shit politics there
 
I'm pretty sure the first fool is you, go to the Club, Bar, Casino then bring your Shit politics there
Hahahaaa Huna Hoja Wewe. Mama Yako Kakufundisha Kutukana Watu Usiowajua. Yes Im A Fool But Kama Hujui Kama Nchi Inapiga Steps Kibao Kurudi Nyuma Utakuwa Jinga Zaidi Yangu. Rubbish
 
%E2%80%AA%2B255%20767%20525%20230%E2%80%AC%2020180307_185346.jpg
tapatalk_1520436925728.jpeg
tapatalk_1510516646449.jpeg
 
Where is CBK 27 floors
88 NAIROBI tower 44 floors
Cytonn 35*3 floors
Habitat 23 floors
...My city is on fire!

I don't have the official heights for those yet. I'll include them immediately I get them.
 
Back
Top Bottom