CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,726
Nchi nzima? Wapi alikojenga kama sio GEITA TU?Me naona ni Tanzania kwa ujumla hizi JPM kazijenga 80 nchi nzima
View attachment 1153931View attachment 1153932
Magufuli anatwanga kote kote
Nchi nzima? Wapi alikojenga kama sio GEITA TU?Me naona ni Tanzania kwa ujumla hizi JPM kazijenga 80 nchi nzima
View attachment 1153931View attachment 1153932
Magufuli anatwanga kote kote
Wakeii hawakai na raha bila kuipost "thika super highway"
Copy n paste bila hata kuumiza kichwa,enhee iyo picha ya kwanza hapo Ni sehemu gani KenyaKenya ya leo kama Ulaya, yaani kuna vitu vnajengwa na kutuacha midomo wazi
Vesus green city in the sun,yaani NBO kuna miti tu na vibanda3 Tower town Kama kawaida.
Si wakeii, ni makeii kama nimekuelewa..Wakeii hawakai na raha bila kuipost "thika super highway"
Hapo ni Geita?Nchi nzima? Wapi alikojenga kama sio GEITA TU?
Miti ni ya maana Sana mijini kubwa kusaidia kusafishwa hewa na pia inavutia...ushamba ni kufikiri a concrete jungle ndio mambo yote...angalia hata New York na TokyoVesus green city in the sun,yaani NBO kuna miti tu na vibanda
Mbona wana eac amweki picha za video ni porojo tu tunstaka kuona video za mini siyo maneno mobuMiti ni ya maana Sana mijini kubwa kusaidia kusafishwa hewa na pia inavutia...ushamba ni kufikiri a concrete jungle ndio mambo yote...angalia hata New York na Tokyo
Mm nimesema eac yazidi kupendeza Kwa kung'ara tuwekee video za kupendeza sawasawa na Uzi siyo maneno mingi
Mbona nai picha zake chakavu au ndiyo sababu mlimwambia wode Maya kuwa camera yake anayotumia dar ime improve kuliko aliyo tumia naiiHaya karibu Nairobi
Mbona nai picha zake chakavu au ndiyo sababu mlimwambia wode Maya kuwa camera yake anayotumia dar ime improve kuliko aliyo tumia naii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona wakenya wenzako wanavyo tembea dar
Ona wakenya wenzako wanavyo tembea dar
Kigali, Blantyre, lilongwe, Dar es salaam, juba, Mogadishu, Kismayu , Kampala, Goma, Mombasa, Addis Ababa Ni mojawapo was miji Wakenya wanapenda kutembea.