East Africa witnesses Venus, Jupiter courting Moon

Hizi nyota mbili yaani Venus na Jupiter hua zinaonekana kua karibu na mwezi kwa sisi hapa duniani lakini ukweli ni kwamba zimepishana kwa umbali mkubwa mno. Kutoka hapa duniani, mwezi uko maili 252,000, Venus iko maili 94 milioni na Jupiter maili 540 milioni! Nyota hizi huwa zinakaribiana mara kwa mara isipokuwa sisi huku duniani hatuoni kwa sababu wakati mwingine zinakuwa karibu na jua na inakuwa vigumu sisi huku duniani kuona. Inatabiriwa kuwa katika mkesha wa mwaka mpya tukio kama hili la jana litatokea tena lakini kwa nyota mbili tu yaani Venus na mwezi.

Mkuu huoni umbali ulivyo tofauti kati ya hizi sayari mbili? na mzunguko wake kulizunguka jua unawiana na umbali uliopo btw them. Ninavyofikiria ni kwamba sayari nyingine zinakaribia mara kwa mara (eg Jupiter na dunia, or Jupiter na mars) lakini siyo Venus na Jupiter kukaribiana mara kwa mara (diameter diff). Unless nimeelewa tofauti maelezo yako, utanisamehe!
 
Kumbe ni Venus na Jupiter? It was amazing. Mwangaza ulikuwa mkubwa kuliko ilivyo kawaida. Hapa kwetu jinsi nyota zilivyojipanga ilionekana tofauti. Nimejaribu kui-edit hii picha ionekane jinsi nilivyoona hiyo jana.


attachment.php


Tukio hili litajirudia miaka mitano ijayo. Haijasemwa iwapo itakuwa ni usiku au mchana.


Tukio hili ni annual na April 2009 litatokea na Feb, 2010 according to NASA
 
Tukio hili ni annual na April 2009 litatokea na Feb, 2010 according to NASA

Mshiiri,
Sidhani kama Jupiter itahusika.


April / July 2009 – Venus and Mars in the morning sky.

The period from mid April until mid July sees Venus and Mars close together in the eastern pre-dawn sky. It is unusual for the two to be so close together for so long; they happen to be in the same line of sight as Venus reaches the maximum curve of its orbit. Venus moves above Mars from 22nd April and then lies about 5 to 10 degrees to the upper left of Mars until the middle of June. The diagram at left shows them by the crescent Moon on the 23rd of April.​


Source ni hiyo link kwenye post iliyotangulia
 


What is the percentage of what we see at night are bodies residing outside the boundary of our solar system?

We have less than 50 solar system residents that could be visible at night, and the number of visible stars is well beyond 5000.

The percentage is well in excess of 99.
 

Mshiiri,
Sidhani kama Jupiter itahusika.


April / July 2009 – Venus and Mars in the morning sky.

The period from mid April until mid July sees Venus and Mars close together in the eastern pre-dawn sky. It is unusual for the two to be so close together for so long; they happen to be in the same line of sight as Venus reaches the maximum curve of its orbit. Venus moves above Mars from 22nd April and then lies about 5 to 10 degrees to the upper left of Mars until the middle of June. The diagram at left shows them by the crescent Moon on the 23rd of April.​


Source ni hiyo link kwenye post iliyotangulia
Naunga mkono hoja hapo juu, sidhani kama Jupiter itahusika muda uliobakia ni mdogo sana, itakuwa bado inajikongoja upande wa pili wa jua.
 
We have less than 50 solar system residents that could be visible at night, and the number of visible stars is well beyond 5000.

The percentage is well in excess of 99.

Mkuu sijakuelewa unaposema 50 solar system, ulitaka kumaanisha nini?
 
Domo Kaya mimi sikujua hili. Ningelijua nisingelala mapema. Next time muwe mnatuhabarisha mapema kabla ya siku ya tukio na hasa kama mmepata habari.
Ningefaidi jamani.
 
What is a Solar System?




attachment.php

The orbits of the bodies in the Solar System to scale (clockwise from top left)​
 

Attachments

  • 600px-Oort_cloud_Sedna_orbit.svg.png
    600px-Oort_cloud_Sedna_orbit.svg.png
    28.6 KB · Views: 49
Back
Top Bottom