East Africa Radio ndiyo radio yenye wachambuzi na watangazaji bora wa michezo Tanzania.

Mashine mwl kashasha tuu..hawa wengine wasoma mitandao na kuleta story tuu.ila ukitaka ndani ya ndimba twwnde kwa kashasha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu kashasha ni mkufunzi wa makocha nimehudhuria semina zake uwanja wa Taifa 2018 mbili.

Anaufahamu mpira vizuri, lakini kila mmoja ni mbobevu katika eneo lake ukitaka kusikiliza uchambuzi wamichezo wa ligi ya mpira ya ndani basi Msikilize Musa Kawambwa pamoja na Mwalimu Kashasha na ukitaka uchambuzi uliotukuka wa ligi za nje basi msikilize George Ambangile pamoja na Jeff.

George anaenda deeper and deeper hata kama unasikiliza Radio unajiona kama uko Signal Iduna Park kabisa.
Akianza kukuchambulia mchezaji mmoja mmoja sasa ndio utapenda zaidi it's like amewahi kukutana hata na mmoja!

Kwa E.A Radio wachambuzi wao ni wapiga kelele kwa mtu asiyependa kelele kama mimi hawezi kuwasikiliza.
Pale wanapotengeneza arguments zao Kampista na Ibra inakuwa ni fujo na kwakuwa Tigana ni mpole ananyamaza.

Tigana amepata exposure ya kwenda kujifunza angalau kidogo mwaka jana Germany anajitahidi, hapa nimekiweka kando kipindi cha Goza Chuma.
Nyongeza Kawambwa kabarikiwa pia kuujua mchezo wetu pendwa wa BBALL akihamia hapa ndio balaa
 
Mwalimu kashasha ni mkufunzi wa makocha nimehudhuria semina zake uwanja wa Taifa 2018 mbili.

Anaufahamu mpira vizuri, lakini kila mmoja ni mbobevu katika eneo lake ukitaka kusikiliza uchambuzi wamichezo wa ligi ya mpira ya ndani basi Msikilize Musa Kawambwa pamoja na Mwalimu Kashasha na ukitaka uchambuzi uliotukuka wa ligi za nje basi msikilize George Ambangile pamoja na Jeff.

George anaenda deeper and deeper hata kama unasikiliza Radio unajiona kama uko Signal Iduna Park kabisa.
Akianza kukuchambulia mchezaji mmoja mmoja sasa ndio utapenda zaidi it's like amewahi kukutana hata na mmoja!

Kwa E.A Radio wachambuzi wao ni wapiga kelele kwa mtu asiyependa kelele kama mimi hawezi kuwasikiliza.
Pale wanapotengeneza arguments zao Kampista na Ibra inakuwa ni fujo na kwakuwa Tigana ni mpole ananyamaza.

Tigana amepata exposure ya kwenda kujifunza angalau kidogo mwaka jana Germany anajitahidi, hapa nimekiweka kando kipindi cha Goza Chuma.
Nyongeza Kawambwa kabarikiwa pia kuujua mchezo wetu pendwa wa BBALL akihamia hapa ndio balaa
huyo ni mawazo yako kutokana na uelewa wako....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kile cha mchana kinachoongozwa na GOZA CHUMA Dah pale Hakuna kitu mwamba anachojua yeye n simba na yanga tu mm binafsi namuona Kama mpiga kelele aliyebahatka kuongoza kipindi

Kwa kipindi cha Usiku Kwel Wapo vizuri ila kuna mambo madogo ya kurekebisha wao ndio pekee hawacopy kutoka radio nyingne n wanautofaut na wengine

Ukisikiliza e FM kipindi chao n Kama wasafi tu

Ila wanaojua kuchambua mpira kwa sasa hapa bongo ni

George ambangile
Jeff lea
Ibrahimu masoud maestro
Tigana lukinja
Yahya njenge



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kile cha mchana kinachoongozwa na GOZA CHUMA Dah pale Hakuna kitu mwamba anachojua yeye n simba na yanga tu mm binafsi namuona Kama mpiga kelele aliyebahatka kuongoza kipindi

Kwa kipindi cha Usiku Kwel Wapo vizuri ila kuna mambo madogo ya kurekebisha wao ndio pekee hawacopy kutoka radio nyingne n wanautofaut na wengine

Ukisikiliza e FM kipindi chao n Kama wasafi tu

Ila wanaojua kuchambua mpira kwa sasa hapa bongo ni

George ambangile
Jeff lea
Ibrahimu masoud maestro
Tigana lukinja
Yahya njenge



Sent using Jamii Forums mobile app
You killed it G!
👏👏
 
Hili swala la nani ni mchambuzi mzuri nadhani pia linategemea na matarajio ya msikilizaji, nini unachotaka, unachopenda kusikia kutoka kwa mtu unayemsikiliza.

Binafsi George Ambangile ananipa kile unachotaka kupata kutoka kwa wachambuzi wetu wa ndani, toka yuko Magic FM na sasa Wasafi. Ingawa kipindi chao cha michezo hakiko vizuri ukilinganisha na Clouds FM.

EA Radio siko karibu nao kabisa.
 
Ila kile cha mchana kinachoongozwa na GOZA CHUMA Dah pale Hakuna kitu mwamba anachojua yeye n simba na yanga tu mm binafsi namuona Kama mpiga kelele aliyebahatka kuongoza kipindi

Kwa kipindi cha Usiku Kwel Wapo vizuri ila kuna mambo madogo ya kurekebisha wao ndio pekee hawacopy kutoka radio nyingne n wanautofaut na wengine

Ukisikiliza e FM kipindi chao n Kama wasafi tu

Ila wanaojua kuchambua mpira kwa sasa hapa bongo ni

George ambangile
Jeff lea
Ibrahimu masoud maestro
Tigana lukinja
Yahya njenge



Sent using Jamii Forums mobile app
ingependeza Goza wamtafutie issue nyingine ya kutangaza...michezo hajui kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala la nani ni mchambuzi mzuri nadhani pia linategemea na matarajio ya msikilizaji, nini unachotaka, unachopenda kusikia kutoka kwa mtu unayemsikiliza.

Binafsi George Ambangile ananipa kile unachotaka kupata kutoka kwa wachambuzi wetu wa ndani, toka yuko Magic FM na sasa Wasafi. Ingawa kipindi chao cha michezo hakiko vizuri ukilinganisha na Clouds FM.

EA Radio siko karibu nao kabisa.
huyu mwamba Ambangile sina tatizo naye...jamaa anajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitenge ana haribu vipindi vya michezo kila anapoenda angalau alivyokua Redio one alikua vizuri..sa ivi yeye ndo Muongoza umbea mkuu anapenda sana kuona vilabu vina migogoro hasa simba Yanga haigusi kwa kua ni mnazii wake.. Namshauri Geog Job kama anataka kufika mbali angetafuta kijiwe kingine kama EFM au EAREDIO kujichanganya na Kitenge ataishia mtu wa majungu tu wakati safari yake bado mno..namjua vizuri huyu chalii ana pasion ya soka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom